Ally Mayai Tembele alipata division 0 form 6 au form 4

wakusoma

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2008
Posts
1,084
Reaction score
1,061
Nikimjua vizuri yeye Ali..kwa maana tukiishi jirani kabisa..na mama yake mzazi Ali pale Dodoma kuna sehem alipata 0..kama sio form 4 basi 6..

Yeya alikuwa akisomea secondary dar es salaam.. Makongo sijui makongo..sasa ataweza kweli kuongoza TFF??

Mkibisha hii naleta jingine.
 
Alipata zero...so whaat? Haituhusu sisi..maana tunachoangalia sio matokeo ya mwisho wa masomo..tunaangalia matokeo ya kila siku ya kazi zake....na kwasababu hiyo yeye ndio mgombea mshindi wetu....
 
Alipata zero kwa kudedicate muda wake kwenye soka...
 
Labda pale Central, maana alichezea CDA huku akisoma. Ila sina hakika kama alipata zero.
 
Sasa tatizo ni nini? OK! Tu - assume weye una "one"! Umeleta faida gani Tanzania zaidi ya kujaza choo? Moron! Hivi ni nani huwa anawatuma m-propagate u pompompoo?
 
hii kampeni ya sijui form four au form six zero itafeli vibaya sana kwa wana malinzi!!
 

Huyu ni muhitimu wa Degree Na alikua Rais wa Chuo cha CBE Dar..

Siasa za majitaka hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…