Ally Mayai Tembele alipata division 0 form 6 au form 4

Ally Mayai Tembele alipata division 0 form 6 au form 4

wakusoma

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2008
Posts
1,084
Reaction score
1,061
Nikimjua vizuri yeye Ali..kwa maana tukiishi jirani kabisa..na mama yake mzazi Ali pale Dodoma kuna sehem alipata 0..kama sio form 4 basi 6..

Yeya alikuwa akisomea secondary dar es salaam.. Makongo sijui makongo..sasa ataweza kweli kuongoza TFF??

Mkibisha hii naleta jingine.
 
Alipata zero kwa kudedicate muda wake kwenye soka...
 
Labda pale Central, maana alichezea CDA huku akisoma. Ila sina hakika kama alipata zero.
 
Sasa tatizo ni nini? OK! Tu - assume weye una "one"! Umeleta faida gani Tanzania zaidi ya kujaza choo? Moron! Hivi ni nani huwa anawatuma m-propagate u pompompoo?
 
Nikimjua vizuri yeye Ali..kwa maana tukiishi jirani kabisa..na mama yake mzazi Ali pale Dodoma kuna sehem alipata 0..kama sio form 4 basi 6..

Yeya alikuwa akisomea secondary dar es salaam.. Makongo sijui makongo..sasa ataweza kweli kuongoza tff??

Mkibisha hii naleta jingine.

Huyu ni muhitimu wa Degree Na alikua Rais wa Chuo cha CBE Dar..

Siasa za majitaka hizi.
 
Back
Top Bottom