Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Sasa wanatumana kujikomboaAwamu mmoja tuu mmejazana Wahaya TFF utafikili tupo Kanyigo
Kama vya MkemiaHiyo bila shaka ni ya makaratasi tu kichwani hamna!
mayayi alipata 0 a level na si o level,cbe kasoma advance dip. bus ad(ADM)Degree ya nini?Ally ana certificate ya biashara kutoka hapo chuo cha ngono CBE sijui hii Certificate aliipataje na yai lake. Asante Mama Ndalichako kwakuondoa upuuzi kama huu wa aliepata zero form4 kuwa na degree.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Degree ya nini?Ally ana certificate ya biashara kutoka hapo chuo cha ngono CBE sijui hii Certificate aliipataje na yai lake. Asante Mama Ndalichako kwakuondoa upuuzi kama huu wa aliepata zero form4 kuwa na degree.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Acha kutumika wewe!? Kama huna uhakika ni iv au vi wewe ni muongo njaa zinakutesaNikimjua vizuri yeye Ali..kwa maana tukiishi jirani kabisa..na mama yake mzazi Ali pale Dodoma kuna sehem alipata 0..kama sio form 4 basi 6..
Yeya alikuwa akisomea secondary dar es salaam.. Makongo sijui makongo..sasa ataweza kweli kuongoza TFF??
Mkibisha hii naleta jingine.
Duh muanzisha mada nae kageuka mchangiaji badala y kujibuVyeti kaka.atoe vyeti
Kwa lipi Kagera sugar aliwanyanganya points isingekuwa nguvu ya Yanga ishakula kwao na Yy km MKiti wa mkoa kashindwa kuongeza timu ligi kuuWahaya tuungane kwa hili jambo.
Kwa nini usingeandika tu kiswahili?? Kudedicate muda kwenye soka ndo kufanyaje?? Neno dedication limeingiaje ktk sentensi yako??
Ikutoshe tu Nina MBA
Kwani malinzi ndie pekee anaegombea nae? Unaweza kuta mshindani wa malinzi akawa wala sio huyo Mayay hivi uwaoni kina madega na nyamlani! Huyo mayay mnamshabikia nyie msiopiga kura wenzenu uko hawana hata time nae.Sikutegemea Kama Malinzi atakuja Na siasa za kizamani..
Ali alianza certificate, Diploma, mpaka Advance Dip..
Na alikua Rais wa chuo.
"No investigation no right to speak"..
Wakati nafanya degree 2001 ya kwanza nadhani ulikuwa unanyea poti.. Na kuvaa pampers.. Ikutoshe tu am a senior member Hapa jf.MBA unayo ndio hatukatai, ila kuandika hujui pia. Kajifunze kuandika na MBA yako.