Ally Mayai Tembele alipata division 0 form 6 au form 4

Kama kweli alipata na hajaikana kwa kufoji cheti hakuna tatizo. kanuni kama inasema leta cheti cha form 4 hara kama kina zero ni cheti cha form4. labda kama wameweka sharti la pass mark.

kufeli darasani haimaniishi wewe ni kichaa.
 
So what?
 
Mbona bashite alipataga ziro lakn yupo boma
 
Uoni hiv unazid kumpigia kampeni?
 
umetumwa?..kwa taarifa yako Aly ndo rais wa TFF ajae
 

Wakati ww unataka kujua matokeo ya ally mayai kwanini muda huo usitumie kutupa matokeo yako ambayo una uhakika nao
Acha uzwazwa Ally Mayai for TFF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…