Ally Mayay ateuliwa kuwa Mwakilishi katika Bodi ya Ushauri wa Michezo wa Jumuiya ya Madola

Ally Mayay ateuliwa kuwa Mwakilishi katika Bodi ya Ushauri wa Michezo wa Jumuiya ya Madola

Amri kiemba naona ana maono ya mpira kuliko mtu yoyote anayeishi Tanzania sema kila mtu na bahati yake
Nadhani shule yake huenda ya kawaida,, yaani hakupiga vidato vya kutosha...ila kichwani yuko vizuri mno...
 
Wengi wanaopata nafasi za uongozi serikalini huwa wanatambuliwa mapema sana. Usishangae kukuta Ally Mayai alikuwa mtumishi toka kipindi anachezea Yanga. Ukiona mtu yuko vizuri halafu anapitwa kila siku ujue huyo si mtu wao.
 
Back
Top Bottom