Pre GE2025 Ally Mohamed Keissy: Rais Samia agombee tena Urais ikifika mwaka 2030, hii miaka 4 ilikuwa ya Magufuli

Pre GE2025 Ally Mohamed Keissy: Rais Samia agombee tena Urais ikifika mwaka 2030, hii miaka 4 ilikuwa ya Magufuli

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Aliyewahi kupendekeza Hayati Magufuli aongoza nchi zaidi ya awamu 2 amerudi tena na mapendekezo ya Rais Samia kuongoza nchi kwa miaka 14 akidai miaka hii 4 ilikuwa ya Magufuli.

==

Ally Mohamed Keissy aliyekua Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kaskazini (2010 - 2020) amependeeza Rais Samia agombee tena Urais baada ya kumaliza muhula wake 2030

"Rais Samia anakwenda vizuri zaidi na inafaa aongezwe tena mingine miaka 5, ile ya kwanza (miaka 4) anamalizia ya Magufuli, haimhusu anaingia Mitano hii akimaliza 2030 agombee tena, anaongeza ile ile 10, hii minne ni ziada"

Soma: Kupita bila kupingwa kunapenyezwa taratibu na CCM, tutashtuka ya 2020 yakijirudia tena
 
Wakuu

Ally Mohamed Keissy aliyekua Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kaskazini (2010 - 2020) amependeeza Rais Samia agombee tena Urais baada ya kumaliza muhula wake 2030

Huyu mzee mvuta bangi mdomo wake una nuksi kweli kweli alimuombea Magufuli atawale milele hata miezi mitatu hakumaliza akafa, sasa kumuombea Mama Abdul mitano tena anamchuria. Nimekaa pale.
 
Wakuu

Aliyewahi kupendekeza Hayati Magufuli aongoza nchi zaidi ya awamu 2 amerudi tena na mapendekezo ya Rais Samia kuongoza nchi kwa miaka 14 akidai miaka hii 4 ilikuwa ya Magufuli.

==

Ally Mohamed Keissy aliyekua Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kaskazini (2010 - 2020) amependeeza Rais Samia agombee tena Urais baada ya kumaliza muhula wake 2030

Soma: Kupita bila kupingwa kunapenyezwa taratibu na CCM, tutashtuka ya 2020 yakijirudia tena
Binadamu anapanga yake, Mungu anapanga yake pia.
 
Wakuu

Aliyewahi kupendekeza Hayati Magufuli aongoza nchi zaidi ya awamu 2 amerudi tena na mapendekezo ya Rais Samia kuongoza nchi kwa miaka 14 akidai miaka hii 4 ilikuwa ya Magufuli.

==

Ally Mohamed Keissy aliyekua Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kaskazini (2010 - 2020) amependeeza Rais Samia agombee tena Urais baada ya kumaliza muhula wake 2030

"Rais Samia anakwenda vizuri zaidi na inafaa aongezwe tena mingine miaka 5, ile ya kwanza (miaka 4) anamalizia ya Magufuli, haimhusu anaingia Mitano hii akimaliza 2030 agombee tena, anaongeza ile ile 10, hii minne ni ziada"

Soma: Kupita bila kupingwa kunapenyezwa taratibu na CCM, tutashtuka ya 2020 yakijirudia tena
Anategemea kweli huyo anayempigia debe ataweza kutoboa kwenye uchaguzi wa mwaka huu 🤣🤣🤣🤣.

GOD BLESS TANGANYIKA
 
Hakuna zaidi ya miaka 10 unless ni martial law.
kuna 10 +x=10
So x=0
Au 10 -x=<10
x=?
Kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania ya 1977 Ibara ya 40 (4), Upo Uwezekano wa Mtu kushika madaraka ya uRais kwa zaidi ya miaka kumi (10) hapa Tanzania kulingana na scenario yenyewe.

Mathalani, endapo kama Rais Magufuli angekufa Mwaka 2023, Basi huyu SSH angeweza kuwa na Haki ya Kugombea Kiti Cha uRais mara mbili. Yaani angegombea Mwaka huu wa 2025 na kushika madaraka ya uRais kuanzia Mwaka 2024-2025( miaka miwili), 2026-2030(miaka mitano), 2031-2035 (miaka mitano): Jumla ya miaka yote kabisa ya kushika madaraka ya uRais ingeweza kuwa ni Miaka 12.
 
Back
Top Bottom