huyu hawezi kufa kwa sababu ni muilsmu ana watetezi wa pande zote mbili ( waislamu na wapagani wajadi) wakati yule alikuwa Mkristo na hakuwa na mtetezi, ndiyo maana Wakristo wote wamekufa, wamebakia waislamu halafu wanawa gaslight Wakristo kwamba kuna mfumo kristo kwamba wao ni victim wakati in actuality victim hapa ni Mkristo wa tanzagiza, yeye ndiye anahitaji Ukombozi, Mengi ameenda alipigwa vita akakosa mtetezi, Lowasa ameenda, Mkapa ameenda, Nyerere alienda, wakati waislamu wote (karibia) bado wapi kuanzia akina salimu a salim mpaka hawa wa sasa …