Ukishaona unaitwa mbumbumbu, basi tambua fika inaweza kukuchukua hata mwaka mzima kukielewa kitu kidogo tu!Ndo nini sijaelewa hasa para ya mwisho
Peleka uzuzzu wako huko...Ukishaona unaitwa mbumbumbu, basi tambua fika inaweza kukuchukua hata mwaka mzima kukielewa kitu kidogo tu!
Au umesahau hata Rage alilazimika kuwaita mbumbumbu kutokana tu na uwezo wenu mdogo wa kuelewa mambo kwa wepesi?
Wewe ndio zuzu kabisaaaaaa, mmekwenda kumharibia kijana badala ya kumsaidia. Kuna jamaa mmoja alikuwa akisikiliza na kuangalia sana redio ya Magic FM na tv ya channel ten, lakini tangu CCM watangaze kuwa ni mali zao, yule jamaa ananiambia hasikilizi na kuangalia Tena. Mzize anahitaji kuitangaza biashara yake lakini sio kwa aina hiyo aliyofanya Ally. Ndiyo maana GSM, sportipesa, crdb, NBC, Azam wanapenda kufanyakazi na timu nyingi na ikiwezekana YANGA na Simba ziwemo kwa pamoja kwa kuhofia kuwakosa wateja wa upande mwingine kwenye bidhaa zake. Hii nayo inahitaji akili kubwa?Wewe ni bonge la pumbavu
Jobless upo nyumban kwa mume wa dada yako umekaa umelala kwenye mkeka unaandika huku umejilegezaWewe ndio zuzu kabisaaaaaa, mmekwenda kumharibia kijana badala ya kumsaidia. Kuna jamaa mmoja alikuwa akisikiliza na kuangalia sana redio ya Magic FM na tv ya channel ten, lakini tangu CCM watangaze kuwa ni mali zao, yule jamaa ananiambia hasikilizi na kuangalia Tena. Mzize anahitaji kuitangaza biashara yake lakini sio kwa aina hiyo aliyofanya Ally. Ndiyo maana GSM, sportipesa, crdb, NBC, Azam wanapenda kufanyakazi na timu nyingi na ikiwezekana YANGA na Simba ziwemo kwa pamoja kwa kuhofia kuwakosa wateja wa upande mwingine kwenye bidhaa zake. Hii nayo inahitaji akili kubwa?
Wacha nilijibu hili. Kama Ukimsifia sana mkeo hadharani mbele ya wanaume wenzako ujue ni njia nyingine ya kumuuza kwa wanaume wamchukue,Ndo nini sijaelewa hasa para ya mwisho
Ulichoandika ww mwenyewe umekielewa.Mzize bado anajitafuta haujafika anakokwenda. Ana duka la nguo ambalo lilikuwa halibagui wateja lakini sasa bundi (Ally) kaenda kuligeuza liwe duka la kijana liwe la Yanga na wanayanga tu. Ally una nini kwani, mbona Yanga Yako mengi yanayopaswa kufanywa kuliko hilo? Mpira wetu wa Simba na Yanga unachezwa ndani na nje ya uwanja kwani hulijui hilo Ally?
Kuna wakati idara ya habari inatoa Siri za jando za kambi kuwaonyesha Simba ni aina gani ya mazoezi Yanga inafanya ili Simba nayo ifanye hivyo kama ikitaka kuwa Bora kama Yanga. Wanaonuesha wachezaji wanavyohenya gym na kiwanjani. Yaani wanamuamsha aliyelala kiaina. Wakati mwingine nadhani ndani ya Yanga Kuna mamluki.
Mzize bado anajitafuta haujafika anakokwenda. Ana duka la nguo ambalo lilikuwa halibagui wateja lakini sasa bundi (Ally) kaenda kuligeuza liwe duka la kijana liwe la Yanga na wanayanga tu. Ally una nini kwani, mbona Yanga Yako mengi yanayopaswa kufanywa kuliko hilo? Mpira wetu wa Simba na Yanga unachezwa ndani na nje ya uwanja kwani hulijui hilo Ally?
Kuna wakati idara ya habari inatoa Siri za jando za kambi kuwaonyesha Simba ni aina gani ya mazoezi Yanga inafanya ili Simba nayo ifanye hivyo kama ikitaka kuwa Bora kama Yanga. Wanaonuesha wachezaji wanavyohenya gym na kiwanjani. Yaani wanamuamsha aliyelala kiaina. Wakati mwingine nadhani ndani ya Yanga Kuna mamluki.
Paragrafu ya miyeyusho hapo mwisho huyu kenge anafosi afanane na mamba ...,.,,..,Ndo nini sijaelewa hasa para ya mwisho
Boss inabidi wakuchukie.