Aloyce Nyanda wa Star TV aachiwa na Polisi baada ya kushikiliwa kwa muda

ohh
 
Wabongo kwa kelele hatujambo, mtu anakoroma nyuma ya keyboard kwa ID feki akitegemea amzuie mwarabu asiwekeze.

Jikotekeni kama Kenya kama hamuwezi msipige kelele
Kwa hiyo wewe unakoroma kutoka nyuma ya trekta au?
 
Wabongo kwa kelele hatujambo, mtu anakoroma nyuma ya keyboard kwa ID feki akitegemea amzuie mwarabu asiwekeze.

Jikotekeni kama Kenya kama hamuwezi msipige kelele
kama.wewe hahaaaa
 
Nape anachekelea huko alipo
 
Nyanda amekuwa radical juu ya mkataba wa bandari na amekuwa akifanya juhudi za kutaka kuhoji wanaopinga mkataba huu. Msimamo wake haupendwi na watawala.
 
duuh imekuwaje tena? au naye kaonesha hautaki huu mkataba wetu? aangalie fyucha yake aachane na haya mambo yasijemkuta ya yule mwenzake wa itv akarudi kuulilia umma anashindwa kumudu familia yake baada ya kupoteza kazi.
 
Ungesomaga m
Sheria na wew unasomaje mass communication mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…