Alphonce Simbu: Hatukwenda kuiangalia njia(Olimpiki 2024), tuliiona tu kwenye Mtandao

Alphonce Simbu: Hatukwenda kuiangalia njia(Olimpiki 2024), tuliiona tu kwenye Mtandao

Corrupted system ipi mkuu, vigezo vinawekwa ukifikisha time flani umefuzu, sasa vp inakuwa corrupted system
Ni jitihada zake mkuu
Kwamba unakataa kwamba mchakato mzima wa kupata washiriki hauna vimelea na rushwa na undugunization au?.. yaani kabisa umekaza shingo hapa unakataa jambo ambalo liko wazi na kila mtu analilalamikia?? Inavyoonekana wewe ni mmoja wa wanufaika wa hiki nnachokizungumzia hapo.

Huyo Simbu nimetoka kumskia hapa dakika chache tu zilizopita anasema eti anaenda kujiandaa kwa ajili ya michuano ijayo serious kabisa..?? Kwamba anajiona bado ana sifa za kuendelea kutuwakilisha pamoja na performance mbovu alionesha kwenye editions tatu tofauti? Hivi angekuwa yuko kwenye taifa ambalo liko serious na michezo angekuwa hata na ujasiri wa kujipa hayo matumaini?

Kwa hiyo kwa akili yako wewe unaamini kwamba miaka yote hiyo hakunaga wakimbiaji wengine wenye sifa za kutuwakilisha bali ni yeye tu??

Wewe unaonekana umzaliwa na kukulelewa na mfumo corrupted na yamekuwa ndio maisha yako.
 
....pia tufahamu hata namna viongozi wao wanavyopatikana...maana huyo Bayi na mwenzie Henry Tandau nimeanza kuwasikia muda kweli..nadhani hawana MAWAZO mapya tena
Hao wazee Bayi na mwenzie ndio kikwazo namba moja kwanini Tanzania haitokaa ipate medali yoyote kwenye michezo ya Olympic... maana wanaindesha hiyo taaisisi kwa utashi wao na kuendekeza rushwa..
 
Basi Simbu medali tutakupa tu huku huku usijali
MEDALI YENYEWE;
1000169923.jpg
 
Hao wazee Bayi na mwenzie ndio kikwazo namba moja kwanini Tanzania haitokaa ipate medali yoyote kwenye michezo ya Olympic... maana wanaindesha hiyo taaisisi kwa utashi wao na kuendekeza rushwa..
Ebu nieleweshe mchakato hadi akapatikana na kushindana olympic mkuu, maana nahisi hkn unachojua
 
Mwanariadha Alphonce Simbu alipotua Nchini akitokea Ufaransa alihojiwa na hii ni sehemu ya maelezo yake kuhusu sababu za yeye kutofanya vizuri na kushinda Medali kwenye Michezo ya Olimpiki 2024 Jijini Paris:

"Kwanza kabisa tulitakiwa tujijue njia ambazo tutatumia kukimbia hata miezi miwili kabla ili tuweze kuifanyia mazoezi, kuanzia hapo lakini tuliijua siku za karibuni kabla ya kuelekea Paris, hiyo ilikuwa changamoto kwetu.

“Mfano mimi nilikimbia sana katika mteleko, nilipofika kwenye kilima kukawa na ugumu kidogo.

“Tuliona njia hiyo katika mtandao tu, tulivyofika tuliangalia tu ilivyochorwa lakini hatukuwa na nafasi ya kwenda kuifanyia mazoezi.

“Unajua njia sio tu kuiangalia lakini lazima uifanyie mazoezi, usipofanya hivyo kuitumia inakuwa ngumu.”

Alipoulizwa maoni yake kuhusu Olipimiki kwa jumla na Tanzania inafeli wapi mesema “Tuwe na tabia ya kukuza Vijana tusiwe na tabia ya kusubiri watu wajitokeze wenyewe inatengeneza ‘gape’, mfano tukiwa na program ya kutafuta wachezaji hasa vijijini, unajua kuna wachezaji wengi wa riadha wapo vijijini.

"Tukiwa na tabia hiyo ya kutafuta watu na kuwatengeneza kutakuwa hakuna tena ile tabia ya Mtu akistaafu panapoa haitakuwepo.”
Natamani viongozi wa riadha wote wafukuzwe na wafilisiwe maana watakuwa ni wafuasi wa mbowe
 
Huyo Simbu mwenyewe hata kupata hiyo nafasi ya kwenda kushirik ni kwa sababu ya corrupted system iliyopo kwenye mchakato mzima wa kumpata mshiriki... tangu ameanza kushiriki 2016 hakuna cha maana aliachowahi kufanya, lakini bado anachaguliwa yeye sio kwamba eti hakuna wakimbiaji wengine... analeta sababu ambazo hazina kichwa wala miguu utafikiri hao aliokuwa anshindana nao walikuwa familiar na mazingira ya kimashindano.... yeye aseme tu hakufanya maandalizi ya kutosha sababu alijua nafasi yake kutuwakilisha ipo basi.

Kwa nchi zilizo serious na michezo huyu angekuwa ameshapigwa chini siku nyingi sana.
no vigezo vya kushiriki haviwekwi na watanzania,ni viwango vya kamati ya olimpiki ya dunia na ni lazima ukimbie kwa muda uliowrkwa kwenye mashindano yanayotambuliwa ndipo utakapofikia hivyo viwango,ndio unachaguliwa kushiriki
 
no vigezo vya kushiriki haviwekwi na watanzania,ni viwango vya kamati ya olimpiki ya dunia na ni lazima ukimbie kwa muda uliowrkwa kwenye mashindano yanayotambuliwa ndipo utakapofikia hivyo viwango,ndio unachaguliwa kushiriki
Hkn anachokijua huyo ndio maana hana hoja ya maana
 
Ebu nieleweshe mchakato hadi akapatikana na kushindana olympic mkuu, maana nahisi hkn unachojua
Hkn anachokijua huyo ndio maana hana hoja ya maana
Nimekuuliza swali lenye logic ndogo tu ambalo wala haliitaji kujing'ata ng'ata ila hujanijibu badala yake unakimbilia kuleta majibu ya mkato tu na kebehi za kipuuzi.

Nakuuliza tena naomba unijibu, wewe akili yako hiyo ndogo unaamini kwa miaka nane iliyopita hakujawahi kutokea mkimbiaji mwingine mwenye vigezo vya kutuwakilisha tofauti na huyo Simbu ambaye kila akienda anarudi na kende zake tu???

Na pia unaamini hii hali ya washiriki kujirudia mara kwa mara hata pale wanaposhindwa hakuna vimelea vya rushwa na nepotism???
 
no vigezo vya kushiriki haviwekwi na watanzania,ni viwango vya kamati ya olimpiki ya dunia na ni lazima uie kwa muda uliowrkwa kwenye mashindano yanayotambuliwa ndipo utakapofikia hivyo viwango,ndio unachaguliwa kushiriki
Simbu ameanza kuiwakilisha Tanzania tangu 2016 kwenye mbio ndefu, na mara zote hizo alizoenda amerudi na kende zake... sasa swali kwako kwamba kwa miaka yote hiyo unaamini hakuna mshiriki mwingine aliyetokea mwenye sifa za kutuwakilisha?

Nafahamu fika kwamba hili kufika huko kuwa muwakilishi ni lazima uwe umeshiriki mashindano mengine baadhi yanayotambulika kimataifa kama vile mashindano ya jumuiya ya madola n.k

Sasa ina maana kwa miaka yote hatujawahi kupata wawakilishi wengine waliofanya vizuri kwenye hayo mashindano ya awali...?

Na pia una hakika kama kweli wizara haina influence yeyote kwenye mchakato wa kupata wawakilishi??
 
Nimekuuliza swali lenye logic ndogo tu ambalo wala haliitaji kujing'ata ng'ata ila hujanijibu badala yake unakimbilia kuleta majibu ya mkato tu na kebehi za kipuuzi.

Nakuuliza tena naomba unijibu, wewe akili yako hiyo ndogo unaamini kwa miaka nane iliyopita hakujawahi kutokea mkimbiaji mwingine mwenye vigezo vya kutuwakilisha tofauti na huyo Simbu ambaye kila akienda anarudi na kende zake tu???

Na pia unaamini hii hali ya washiriki kujirudia mara kwa mara hata pale wanaposhindwa hakuna vimelea vya rushwa na nepotism???
Ebu mtaje huyo mkimbiaji mwingine tumjue badi, mi nawajua hao wawili simbu na geay labda giniki
 
Ndio maana nakwambia hujui hao akina simbu wanapatikanaje, kama wizara au TOC wanapeleka watu wao mbona hatuwaoni, akina simbu wamefuzu viwango kwa time iliyowekwa na kamati ya olympic ya dunia
 
Ebu mtaje huyo mkimbiaji mwingine tumjue badi, mi nawajua hao wawili simbu na geay labda giniki

Ndio maana nakwambia hujui hao akina simbu wanapatikanaje, kama wizara au TOC wanapeleka watu wao mbona hatuwaoni, akina simbu wamefuzu viwango kwa time iliyowekwa na kamati ya olympic ya dunia
Kwa hiyo na akili zako ndogo unaamini kwa miaka yote 8 wakimbiaji waliofuzu vigezo ni hao wawili tu basi??? Yaani katika editions tatu hakuna wakimbiaji wengine waliowahi kujitokeza zaidi ya hao akina simbu tu?? Basi akili zako ni ndogo mithili ya piritoni.

Unafahamu ukiritimba uliopo mpaka mtu uje upate gap hata la kushiriki common wealth sport complex ambapo ndio mwanzo wa mtu kuelekea huko kwenye kushiriki Olympic? Hivi we jamaa unaona hii sekta mambo yamenyooka na kila kitu kinaenda kwa meritocracy etii.? Akili kisoda wewe endelea kudanganywa na media kwamba hii nchi mkimbiaji ni simbu tu.
 
Kwa hiyo na akili zako ndogo unaamini kwa miaka yote 8 wakimbiaji waliofuzu vigezo ni hao wawili tu basi??? Yaani katika editions tatu hakuna wakimbiaji wengine waliowahi kujitokeza zaidi ya hao akina simbu tu?? Basi akili zako ni ndogo mithili ya piritoni.

Unafahamu ukiritimba uliopo mpaka mtu uje upate gap hata la kushiriki common wealth sport complex ambapo ndio mwanzo wa mtu kuelekea huko kwenye kushiriki Olympic? Hivi we jamaa unaona hii sekta mambo yamenyooka na kila kitu kinaenda kwa meritocracy etii.? Akili kisoda wewe endelea kudanganywa na media kwamba hii nchi mkimbiaji ni simbu tu.
Itoshe kusema ww ni fala, nachokizungumza hapa nakijua haswaa
Unaongea usichokijua kabisa, ngoha nikuache na umbea wako
 
Itoshe kusema ww ni fala, nachokizungumza hapa nakijua haswaa
Unaongea usichokijua kabisa, ngoha nikuache na umbea wako
Fala baba yako mzazi maku wewe, baki hivyo hivyo na umburura wako.... hujui chochote nyau wewe zaidi tu ya kutaka kutetea mfumo uliojaa rushwa na nepotism kwenye sekta nzima ya michezo.

Hii nchi kwa miaka nane iliyopita wakimbiaji ni simbu na geye tu pekee??? Huna jibu una ruka ruka tu.

Nenda kwa bwana yako simbu anakusubiri huko chumbani, maana sio kwa kumtetea huku.
 
Fala baba yako mzazi maku wewe, baki hivyo hivyo na umburura wako.... hujui chochote nyau wewe zaidi tu ya kutaka kutetea mfumo uliojaa rushwa na nepotism kwenye sekta nzima ya michezo.

Hii nchi kwa miaka nane iliyopita wakimbiaji ni simbu na geye tu pekee??? Huna jibu una ruka ruka tu.

Nenda kwa bwana yako simbu anakusubiri huko chumbani, maana sio kwa kumtetea huku.
Maku wazazi wako walikulea mjinga
 
Maku wazazi wako walikulea mjinga
Kakalie msumali wa simbu kahaba wa bei nafuu wewe... unatetea mfumo mbovu unaonuka rushwa na nepotism, una akili wewe?

Mwambie na huyo baba mkwe wako Filbert Bayi siku zake zinahesabika.
 
Back
Top Bottom