Alquds wadondosha ndege ya Israel jijini Gaza. Mapigano bado yaendelea katikati ya jimbo hilo

Alquds wadondosha ndege ya Israel jijini Gaza. Mapigano bado yaendelea katikati ya jimbo hilo

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Ndege isiyo na rubani au droni imedondoshwa leo kwenye jiji la Gaza ambalo jeshi la Israel lilitangaza zamani kulidhibiti eneo hilo.

Habari hizo zimetolewa na msemaji ya kundi la Alquds ambalo ni tawi la kijeshi la harakati za Islamic jihad.
Droni hiyo kwa mujibu wa aljazeera iliyowanakili Alquds ilikuwa ni ile iliyokuwa ikikushanya taarifa za kijasusi kwa ajili ya IDF.

Ikumbukwe kuwa vita kati ya Hamas na makundi mengine ya kipalestina vimeingia mwezi wa tano tango vianza hapo mwisho mwa mwaka uliopita.

Sambamba na tukio hilo vita vimetajwa kuendelea maeneo ya kati ya Gaza na kusini kwenye mpaka na Misri eneo la Rafah.

Kweny kambi ya El barah katikati ya Gaza jumla ya watu 12 wameuliwa na jeshi la Israel.


Al-Quds Brigades shoots down Israeli drone over Gaza City​

 
Ndege isiyo na rubani au droni imedondoshwa leo kwenye jiji la Gaza ambalo jeshi la Israel lilitangaza zamani kulidhibiti eneo hilo.

Habari hizo zimetolewa na msemaji ya kundi la Alquds ambalo ni tawi la kijeshi la harakati za Islamic jihad.
Droni hiyo kwa mujibu wa aljazeera iliyowanakili Alquds ilikuwa ni ile iliyokuwa ikikushanya taarifa za kijasusi kwa ajili ya IDF.

Ikumbukwe kuwa vita kati ya Hamas na makundi mengine ya kipalestina vimeingia mwezi wa tano tango vianza hapo mwisho mwa mwaka uliopita.

Sambamba na tukio hilo vita vimetajwa kuendelea maeneo ya kati ya Gaza na kusini kwenye mpaka na Misri eneo la Rafah.

Kweny kambi ya El barah katikati ya Gaza jumla ya watu 12 wameuliwa na jeshi la Israel.


Al-Quds Brigades shoots down Israeli drone over Gaza City​

Hii taarifa haina chanzo umeiokoteza kijiwe cha wapi?
 
Israel ilisema kwenye baraza la umoja wa mataifa, vita itaendelea walishagundua kuwa hamas wanajificha kwenye kichaka cha ceasefire huku wameshikilia mateka, baada ya ceasefire Hamas anaweka conditions kwa Israel kwamba siachii mateka bila kutimiza matakwa yangu ya kutaka Israel iachie wafungwa wote na kuondoka mashariki ya kati , hayo masharti hayatekelezeki, pia utatoaje masharti na wakati umeshindwa vita? Wa kutoa conditions ni Israel ili vita uishe.
 
Israel ilisema kwenye baraza la umoja wa mataifa, vita itaendelea walishagundua kuwa hamas wanajificha kwenye kichaka cha ceasefire huku wameshikilia mateka, baada ya ceasefire Hamas anaweka conditions kwa Israel kwamba siachii mateka bila kutimiza matakwa yangu ya kutaka Israel iachie wafungwa wote na kuondoka mashariki ya kati , hayo masharti hayatekelezeki, pia utatoaje masharti na wakati umeshindwa vita? Wa kutoa conditions ni Israel ili vita uishe.
Tafsiri ya kushinda vita na kushindwa kwenye vita vya Gaza haikai sawa kwa mtu yeyote mwenye kufuatilia hili janga.
 
Back
Top Bottom