Alshabaab 1,000 walishambulia na kuawa zaidi ya 200

Alshabaab 1,000 walishambulia na kuawa zaidi ya 200

"Lakini nao alshabaab zaidi ya 200 waliuawa na wapo kuzimu wanagegeda mabikira 70 kila mmoja" [emoji15]

Ni muhimu kuwafikisha kule maana hamna jinsi. Kwa kweli japo naogopa kifo lakini nikihakikishiwa nitawapata hao mabikira 70 inabidi kuachia dunia. Kuna baadhi yetu tulikua midomo zege wakati wa ujana wetu na hatukufaulu kuwapata mabikira, na hatujui wapo vipi kwenye shughuli, hivyo fursa kama hiyo inabidi kuchangamkia.
 
Wakenya hawataki kuamini ukweli. KDF ni dhaifu mno. Hii propaganda pelekea watoto kule kiambu. Sio watu wazima wanaoelewa jinsi haya makundi hufanya mashambulizi yake. Tushaona kanda nyingi tu.
Propaganda kwenye maisha ya watu ni upumbavu kabisa!!

Askali mmoja ni sawa na Raia wakaida wakenya 300

sasa waliuliwa askali 57
hapo utapata Hasara kwa taifa ilivyo!!

Alshbb hawana chakupoteza
hawanamsiba
wala mazishi ya heshima kitaifa!!
Wale nikikundi sio taifa.
7434bfaf1d637579789e525a35916510.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wakenya bhana, yaani mtu anajitekenya halafu anacheka mwenyewe
 
Ni muhimu kuwafikisha kule maana hamna jinsi. Kwa kweli japo naogopa kifo lakini nikihakikishiwa nitawapata hao mabikira 70 inabidi kuachia dunia. Kuna baadhi yetu tulikua midomo zege wakati wa ujana wetu na hatukufaulu kuwapata mabikira, na hatujui wapo vipi kwenye shughuli, hivyo fursa kama hiyo inabidi kuchangamkia.
Wameanza kwenda huko uwazako Tokea kipindi cha Marekani yupo Somalia
jiulize wameisha!!?
jiulize Matatizo yameisha!!?
Kashindwa mwenye kujielewa
ninyi vikaragosi mtaweza kweli!!

Mkumbuke hao hawana chakupoteza
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wakenya bhana, yaani mtu anajitekenya halafu anacheka mwenyewe
Umeniwahi...Shukran
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wakenya bhana, yaani mtu anajitekenya halafu anacheka mwenyewe
Hahaha jamaa wanaimba na kucheza wao
picha nyingi na video zipo
jinsi gani lile shambulizi lilivyo teketeza Wanajeshi wa kenya!!
 
harakat alshabab al-mujahidin ni waskieni tu jamani, usiombe wakuwaze. Nina rafiki yangu polisi mwaka uliopita alikuwa huko arabia(mandera) aliniambia walikuwa wakiwasikia hao magaidi wako area, wanatimka mbio mguu niponye na kuwacha kambi bila mtu. Mashabab wanakuja na kukomba kila kitu hata chakula
FB_IMG_1486223754997.jpg
FB_IMG_1486223750395.jpg
FB_IMG_1486223774609.jpg
 
Tuwekee video hizo ndugu
Duuh!! Wabongo! Mtu alisema Uswahilini kuna mambo!! Tunayaona hapa!!!

Sasa mtu kushikilia wazo kukutu eti vile Alshabaab walisema ndio hivyo!! huu ni ujinga wa hali ya juu!!

Alshabaab walisema wameuwa komanda wa Kenya mwingine ametekwa nyara, ambayo sio kweli, unawaona hapa Nairobi wakitoa habari!!

Alshabaab wanaonesha picha za tanks, hiyo Kambi haikuwa na tanks, uongo wa pili. Yaani propaganda!

Kitu na shangaa, mbona watz wanataka kuamini Alshabaab?? Somalia ni kama jehenam, ukitaka picha za waliokufa kwa vita ni tele, waweza pachikapachika!!!

Naamini report ya hawa makomanda!!
 
harakat alshabab al-mujahidin ni waskieni tu jamani, usiombe wakuwaze. Nina rafiki yangu polisi mwaka uliopita alikuwa huko arabia(mandera) aliniambia walikuwa wakiwasikia hao magaidi wako area, wanatimka mbio mguu niponye na kuwacha kambi bila mtu. Mashabab wanakuja na kukomba kila kitu hata chakulaView attachment 467369View attachment 467370View attachment 467371

Hii ndio ilifanya KDF wakaingia Somalia, hayo Magari unayaona ni ya Kenya Police, hao hawawezi Alshabaab!! Tangu KDF waingie huko mambo sahi ni shwari!!!
 
Pamoja na taarifa za kuvamiwa bado hazikusaidia!!!! Kenya nchi ya mafununu fununu by William Ruto
 
Weh! Watanzania ukiwaambia KDF imeua al shabaab utakuwa unavunja moyo. Waletee habari za al shabaab kuua KDF hapo utakua umewafikisha kilele(orgasm).
Mtaishi kueleza kueleza stori za nchi nyingine tu...make your own story au mbakie tu maspectator shouting at the players.
 
Back
Top Bottom