"Lakini nao alshabaab zaidi ya 200 waliuawa na wapo kuzimu wanagegeda mabikira 70 kila mmoja" [emoji15]
Propaganda kwenye maisha ya watu ni upumbavu kabisa!!Wakenya hawataki kuamini ukweli. KDF ni dhaifu mno. Hii propaganda pelekea watoto kule kiambu. Sio watu wazima wanaoelewa jinsi haya makundi hufanya mashambulizi yake. Tushaona kanda nyingi tu.
Ulichelewa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Askali kama hawa unasema ni shupavu!!
Dunia inavituko du!
Wameanza kwenda huko uwazako Tokea kipindi cha Marekani yupo SomaliaNi muhimu kuwafikisha kule maana hamna jinsi. Kwa kweli japo naogopa kifo lakini nikihakikishiwa nitawapata hao mabikira 70 inabidi kuachia dunia. Kuna baadhi yetu tulikua midomo zege wakati wa ujana wetu na hatukufaulu kuwapata mabikira, na hatujui wapo vipi kwenye shughuli, hivyo fursa kama hiyo inabidi kuchangamkia.
Umeniwahi...Shukran[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wakenya bhana, yaani mtu anajitekenya halafu anacheka mwenyewe
Kivipi?Ulichelewa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tena ushabiki no 1Hii habari.imeandikwa kiushabiki.
Hahaha jamaa wanaimba na kucheza wao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wakenya bhana, yaani mtu anajitekenya halafu anacheka mwenyewe
Tuwekee video hizo nduguHahaha jamaa wanaimba na kucheza wao
picha nyingi na video zipo
jinsi gani lile shambulizi lilivyo teketeza Wanajeshi wa kenya!!
Zina ukajasi kuzionaTuwekee video hizo ndugu
Duuh!! Wabongo! Mtu alisema Uswahilini kuna mambo!! Tunayaona hapa!!!Tuwekee video hizo ndugu
harakat alshabab al-mujahidin ni waskieni tu jamani, usiombe wakuwaze. Nina rafiki yangu polisi mwaka uliopita alikuwa huko arabia(mandera) aliniambia walikuwa wakiwasikia hao magaidi wako area, wanatimka mbio mguu niponye na kuwacha kambi bila mtu. Mashabab wanakuja na kukomba kila kitu hata chakulaView attachment 467369View attachment 467370View attachment 467371