Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea point sanaKuna kale kajamaa nadhani ni kiongozi chao ,kina lafudhi ya kimombasamombasa huwa kinatoa video fulani wanaonekana wapo kambini porini, hivi haiwezekani ukafanyika uchunguzi wa kisayansi juu ya walipo halafu drone ikadondosha mabomu ya maana kumaliza hao mchwa?
Kwa nini na kdf wasiwavie al-shabaabMmmmhh.. nimeisoma, ila kuna mashaka sana na habari hii, vita hii ni kali sana, sbb ni al-shabab wanawavizia KDF kisha wanawapiga ambush ya kufa mtu..!!
Kwa nini na kdf wasiwavie al-shabaab na kuwapigaMmmmhh.. nimeisoma, ila kuna mashaka sana na habari hii, vita hii ni kali sana, sbb ni al-shabab wanawavizia KDF kisha wanawapiga ambush ya kufa mtu..!!
I would like to see thE KDF CAMP before I can believe anything...at this point ALSHABAAB IS WINNING ..they have videos and pic to prove it..
Issue ni kwamba waliwa spot kwa drone mapema sana hapo ilikuwa ni wakati muafaka kubadili game na kuwa ambush alshabab!you can count them 1000 plus huku mkiwa na drone na gunship then you end up kiling mere 200?Utawavizia watu sokoni wakifanya shughuli zao, inafaa ifahamike alshabaab siku za kawaida huwa ni watu wavaa makanzu tu bila ishara yoyote kwamba ni wapiganaji.
Issue ni kwamba waliwa spot kwa drone mapema sana hapo ilikuwa ni wakati muafaka kubadili game na kuwa ambush alshabab!you can count them 1000 plus huku mkiwa na drone na gunship then you end up kiling mere 200?
Yaani hapo ilikuwa ni kuwapa kichapo kitakatifu unaita kila mtu kuwa jamaa wapo njooni tuwafagie once and for all!
Huyu kamanda anatuletea hadithi za hao good they defend the camp ?tena anasema kulikuwa na camp mbili zingeweza kulengwa kwa nini asiwa alert na hiyo nyingine wakajoin na kuwafyeka alshabab?
KDF Mmeniangusha bwana!
We boya mbona kama unawasifia al shababu unasema wanamagari yenye mabomu hatari sijui nini intelligence yenu ya kijasusi hipo wapi kwanini mateka mnaowakamata msiwatumie kuwatambua hao al shab na sehemu zilipo siraha zao na kuwapokonya ila ukweli hiyo habari haipo sawa vipi wapotee al shab 1000 mbele ya ndege za kisasa kdf stupid mankiNafikiri pia kuna masuala ya tactical hapa, drones ziliwaona jamaa 1,000 wakiwa 14km away, kama wanakuja. Siyajui masuala ya kijeshi vizuri, lakini ningekua kamanda na nina wanajeshi 250 halafu nimepata taarifa za drones kwamba kuna kundi la wapiganaji wa kujitoa mhanga wapo kilomita 1,000 wanakuja kwa kasi huku wamebeba silaha za kila aina, lazima ningejiandaa kulinda kambi na sio kutoka nje ili kuwashtukiza.
Huo muda ni mdogo sana kuandaa ambush ya aina yoyote, hao jamaa walikua wamekuja kufanya maangamizi ambayo yangebaki kwenye historia. Walikua na magari yenye mabomu makubwa ya kujitoa mhanga. Hivyo kwa wao kuuawa 200 ilikua shughuli. Halafu ndege zilifika ndani ya dakika 30 na walipoziona wakatoweka.
Kwamujibu wenu wenyewe hilo alikuwa shambulio la kuvizia mana mliwaona tayari wakiwa umbali wa km14 labda nyinyi ndo mngeweza kuwavizia waoNafikiri pia kuna masuala ya tactical hapa, drones ziliwaona jamaa 1,000 wakiwa 14km away, kama wanakuja. Siyajui masuala ya kijeshi vizuri, lakini ningekua kamanda na nina wanajeshi 250 halafu nimepata taarifa za drones kwamba kuna kundi la wapiganaji wa kujitoa mhanga wapo kilomita 1,000 wanakuja kwa kasi huku wamebeba silaha za kila aina, lazima ningejiandaa kulinda kambi na sio kutoka nje ili kuwashtukiza.
Huo muda ni mdogo sana kuandaa ambush ya aina yoyote, hao jamaa walikua wamekuja kufanya maangamizi ambayo yangebaki kwenye historia. Walikua na magari yenye mabomu makubwa ya kujitoa mhanga. Hivyo kwa wao kuuawa 200 ilikua shughuli. Halafu ndege zilifika ndani ya dakika 30 na walipoziona wakatoweka.
Huwezi kuita shambulio la kuvizia kuwa ni ushindi. KDF wamefanya makubwa sana kuweza kupambana na hao mchwa, na waki withdraw kama baadhi ya watu wanavyojidanganya, hali itakuwa mbaya!!! wanahitaji support kutoka kwenye international community pamoja na raia wote wa eneo la afrika mashariki na pembe ya afrika.Taafifa za kiintelijensia zinahitajika kwani watu wanaweza kufikiri kuwa hawa ni wasomali kumbe uhalisia ukakuta ni watu ambao tunaishi nao mitaani tena wanajifanya watu wema kweli na huwasiliana wajuavyo na kutekeleza uhalifu na baadaye kurudi kujichanganya mitaani. Ninaamini watu wachukia uovu wapo na wapo wengi tuu na siku moja taarifa sahihi zitapatikana na kufuta kabisa mtandao huu wa kihuni.
Hawa alshabab wanatesa binadamu wenzetu sana jamani hivi majeshi yamewashindwa kabisa?
Alafu sijawahi kusikia nchi yetu imetoa askari kushughurika na alshabab nipeni mwanga kwanini hatushiriki hilo wakuu ilihali wakenya na sisi tuko pamoja sehemu nyingi
KDF huwa hawatangazi, ukitaka kupata habari hizo, fuata habari za Kisomali utapata kila wiki Alshabaab wamepigwa.Kwa nini na kdf wasiwavie al-shabaab
Ninachotaka Mimi kusikia ni kwamba hakuna mtu wala binadamu anajiita alshabab hapo ndo itakua final episode ya alshabab sasa kama bado wapo na wanaua watu wetu huoni bado hawajaisha? Wanatakiwa waishe hata huko uraiani wanakojificha.Vita dhidi ya Alshabaab na magaidi wote ni vya dunia yote, na sio vya Kenya pekee yake. Kule Somalia, wameenda wanajeshi kutokea Uganda, Ethiopia, Burundi, Rwanda, Kenya n.k.
Pili, wanajeshi wa KDF hawajashindwa, na hamna jinsi wanaweza kushndwa. Tayari waliwapiga Alsbaaba kutoka kwenye ngome zao, sasa wameishia kujificha ndani ya raia na kupanga mashambulizi ya kushtukia, kwamba hawana kambi maalum.
Mchana unaona watu wanazunguka wakiuza bidhaa za machinga huku wamevaa kanzu, lakini usiku wanabadilika na kuwa wapiganaji.
Ninachotaka Mimi kusikia ni kwamba hakuna mtu wala binadamu anajiita alshabab hapo ndo itakua final episode ya alshabab sasa kama bado wapo na wanaua watu wetu huoni bado hawajaisha? Wanatakiwa waishe hata huko uraiani wanakojificha.
Mr. Japo hawa viumbe sio Watu wakawaida ni wanyama hawana utu!!!harakat alshabab al-mujahidin ni waskieni tu jamani, usiombe wakuwaze. Nina rafiki yangu polisi mwaka uliopita alikuwa huko arabia(mandera) aliniambia walikuwa wakiwasikia hao magaidi wako area, wanatimka mbio mguu niponye na kuwacha kambi bila mtu. Mashabab wanakuja na kukomba kila kitu hata chakulaView attachment 467369View attachment 467370View attachment 467371