Alshabaab wawadhalilisha tena KDF, washambulia katikati ya Kismayu

Aisee yaani unashangilia watu kufa! Kweli dini hizi ni moja ya upumbavu unaosumbua binadamu hadi sasa.
Huyo mpumbavu hasumbuliwi na dini huyo kinachompa tabu ni mipaka ya nchi na nchi mzee, anapenda battle za kipuuzi sana mbwa huyu
 
Jinga kabisa wewe Joto la Jinga.Unajua waTzed 3 walikufa pale lakini furaha yako ni kwamba waKenya watatu wameangamia - hivyo ni kama kukata uume wako ati ndio mpenzi wako asikie vibaya kwa kukosa ngono.
 
Ficha upumbavu wako mbw.a we.
Poleni ndugu zetu wakenya, poleni pia watanzania mliopoteza wapendwa wenu. East Africa ni moja.
 
Wacha niwache hizi hapa nikiendanga .
Observe the larger jets with two fins and two large exhausts
ATTACH=full]1152859[/ATTACH]

If you know you know
 
Jinga takataka la mtu ashabikiaye maafa ya wenzake.
Bure kabisa bloody fool!
Ushindwe na ulegee
Wajiita jiwe la kinyesi.
Hahahaha, ukweli unauma sana, lakini ni lazima usemwe, "KDF is the weakest army in this zone".
 
Ushindwe ulegee.
Unaposhangilia magaidi kufanya shambulio na kuoa watu ni mi kuonyesha udhaifu mkubwa sana katika uwezo wako wa kufikiri. Lakini ndivyo wafuasi wa msaliti mlivyo, inabidi tu tuvumiane nanyi kwenye jamii πŸ˜ͺπŸ˜ͺπŸ˜“
 
Achaga ubishi yule mmiliki wa city garden msomali pure
Aaaaweeee!!!mmeshanza kuogopa tayari.....ccm propaganda...mkulu kaona operation somalia si size yenu..anajua kilichotokea congo...mapanga reloaded[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na pia ukitazama vizuri utajua ya kwamba huu ni mwaka wa uchaguzi huko jubaland na wanasiasa wanafanya kampeini, na kuna ripoti zinazosema ya kwamba hili shambulizi lilipangwa na wanasiasa ili imwonyeshe madoobe kama kiongizi ambaye ameshindwa kulinda wakazi wa jubaland. Rip kwa wale wote waliopoteza maisha yao.
 
Today I have confirmed that you have cowdung in between your ears. Among the dead are Tanzanians and you are here celebrating ND farting around foolishly. Bluh
 
Kwa jinsi sakata la mipaka (ya hazina) la Kenya na Somalia linavyokwenda na nguvu kubwa za Al Shabab zilizoonekana hivi karibuni, kuna kila sababu ya kudhania kuwa kwa sasa Serikali ya Somalia inashirikiana na, japo kwa mlango wa nyuma, Al Shabab.

Miaka kadhaa sasa nawausia Wakenya, Wasomali wote ni ndugu, kwanza kwa damu (Wasomali ni katika Mataifa yaliochanganya damu kidogo sana na watu wa Mataifa mengine) halafu kwa Dini (asilimia 99.9 ya Wasomali wote ni Waislam). Fikiri.

Leo hii hata muwe na ugomvi wa "kuvuana nguo" na ndugu yako lakini ukimuona anashambuliwa na watu wengine roho itakuuma. Ni sawa na mwanao, adhabu umpe wewe tu akimpa jirani inauma.
 
joto la jiwe nyuzi zako siku hizi zinaangukia pua IQ yako iko basement level πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Rudi shule uerevuke angalau hata Kama ni primary school level.
 
You must be a big fool, instead of you mourning the 3 Tanzanians Killed, you are here to show how your hatred for Kenya is bigger than love for your own country.Get a life Stupid idiot!!
Watanzania hatuko kama huyu mjinga mmoja. Jeshi la Kenya linastahili pongezi kwa kujitoa kuilinda Kenya na Wasomali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…