Alshabaab wawadhalilisha tena KDF, washambulia katikati ya Kismayu

Alshabaab wawadhalilisha tena KDF, washambulia katikati ya Kismayu

Kama kawaida, Alshabaab wadhihirisha umwamba kwa KDF baada ya kushambulia Hotel maarufu mjini Kismayu ambao upo chini ya ulinzi wa jeshi dhahifu la Kenya KDF, shambulio lililosababisha vifo vya zaidi ya watu 30 wakiwemo wanahabari wa mataifa mbalimbali.

Pia imesababisha majeruhi zaidi ya 50 wakiwemo raia wa nchi tukufu ya Tanzania. Ikumbukwe kwamba hii sio Mara ya kwanza wala Mara ya pili kwa Alshabaab kuwadhalilisha KDF kwa kufanya mashambulizi vile wapendavyo kwa wakati wowote wanapojisikia, iwe ndani ya Kenya, katika kambi za KDF huko Somalia, au katika maeneo yaliyochini ya KDF huko Somalia.

Udhahifu wa KDF kushindwa kulinda maisha ya raia sio tu unazidi kuleta hofu na wasiwasi ndani ya Kenya, bali hats nje ya Kenya. Miaka minne iliyopita kikosi cha kulinda amani cha KDF kilichopelekwa South Sudan, kilishindwa kulinda raia jambo lililosababisha karibu MKUU wa UN kipindi hicho Bwana Ban Kin-Mon, kumfurusha kama wa Kenya aliyekabidhiwa jukumu hilo jambo lililosababisha wakenya kususa na kuondoa wanajeshi wao goigoi waliokuwa wakilipwa pesa na UN wakati hawajafikia viwango vya kuwa katika vikosi vya UN.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
tapatalk_1562779919994.jpeg
 
Na akiguswa utwajua km wao ni akina nani...bwahahahaa...muiteni IG wa somalia mpeleke polisi km vile msumbuji au jwtz wakawasake alshabab km mnaubavu huo...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nangoja kauli ya magu
 
Kupigana na watu ambao hawana jeshi ni kazi sana,hujui adui ni nani na raia mwema ni nani!Ubalozi wa kenya,uganda na tz ulilipuliwa sikumbuki mwaka lakini kati ya sehemu zinalindwa ni ubalozini.Poleni ndugu zetu kwa kufikwa na umauti.Mungu awape kauli Thabit,awasamehe dhambi zenu na awarehemu.
 
Bwahahaaa..imekuuma...meanwhile..tunangoja marejesho ya makomando kuvuka boader....mko huru pitieni kenya mkawatafute alshabab[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
What is Juba land?. KDF is the weakest army in East and Central Africa.
 
Kupigana na watu ambao hawana jeshi ni kazi sana,hujui adui ni nani na raia mwema ni nani!Ubalozi wa kenya,uganda na tz ulilipuliwa sikumbuki mwaka lakini kati ya sehemu zinalindwa ni ubalozini.Poleni ndugu zetu kwa kufikwa na umauti.Mungu awape kauli Thabit,awasamehe dhambi zenu na awarehemu.
Inaonekana hujui unachozungimza, Alshabaab, Boko haram, ISIS, Taliban, wote wana majeshi rasmi yenye Uniforms na silaha kubwa kubwa, na maeneo wabayoshilikilia, Alqaeda pekee ndio hawakuwa na jeshi.

Unadhani hizo kambi za Kenya na Burundi zilizosambaratishwa, hizo silaha kubwa kubwa na MAGARI ya kivita yaliyotekwa na Alshabaab vinatumiwa na kina nani?. Tofauti ni mbinu za vita wanayotumia ni "Gorilla technique", ndiyo inayowashinda hawa KDF.
 
Bwahahaaa..imekuuma...meanwhile..tunangoja marejesho ya makomando kuvuka boader....mko huru pitieni kenya mkawatafute alshabab[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Taarifa tulizonazo ni kwamba huyo mtanzania ni msomali aliyekuwa anaishi na kufanya biashara Tanzania kwa muda mrefu, inasemekana alikua amesharudi Somalia baada ya biashara zake huku Tanzania kuyumba.
 
Inaonekana hujui unachozungimza, Alshabaab, Boko haram, ISIS, Taliban, wote wana majeshi rasmi yenye Uniforms na silaha kubwa kubwa, na maeneo wabayoshilikilia, Alqaeda pekee ndio hawakuwa na jeshi.

Unadhani hizo kambi za Kenya na Burundi zilizosambaratishwa, hizo silaha kubwa kubwa na MAGARI ya kivita yaliyotekwa na Alshabaab vinatumiwa na kina nani?. Tofauti ni mbinu za vita wanayotumia ni "Gorilla technique", ndiyo inayowashinda hawa KDF.
Sawa kwa ku recruit!
 
Inaonekana hujui unachozungimza, Alshabaab, Boko haram, ISIS, Taliban, wote wana majeshi rasmi yenye Uniforms na silaha kubwa kubwa, na maeneo wabayoshilikilia, Alqaeda pekee ndio hawakuwa na jeshi.

Unadhani hizo kambi za Kenya na Burundi zilizosambaratishwa, hizo silaha kubwa kubwa na MAGARI ya kivita yaliyotekwa na Alshabaab vinatumiwa na kina nani?. Tofauti ni mbinu za vita wanayotumia ni "Gorilla technique", ndiyo inayowashinda hawa KDF.
And what is all your excitement and celebration about!
 
Stratergy ya Uhuru Mwigai inafanya Kazi Alshababu na Wasomali wenzao walipuane kweye Ardhi yao ili Ndugu zetu Wakenya walale usingizi mnono.
 
Aaaaweeee!!!mmeshanza kuogopa tayari.....ccm propaganda...mkulu kaona operation somalia si size yenu..anajua kilichotokea congo...mapanga reloaded[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Taarifa tulizonazo ni kwamba huyo mtanzania ni msomali aliyekuwa anaishi na kufanya biashara Tanzania kwa muda mrefu, inasemekana alikua amesharudi Somalia baada ya biashara zake huku Tanzania kuyumba.
 
Hao watanzania walienda kufanya nini huko kwa magaidi?
 
Jinga takataka la mtu ashabikiaye maafa ya wenzake.
Bure kabisa bloody fool!
Ushindwe na ulegee
Wajiita jiwe la kinyesi.
 
Back
Top Bottom