Alshabaab wawadhalilisha tena KDF, washambulia katikati ya Kismayu

Alshabaab wawadhalilisha tena KDF, washambulia katikati ya Kismayu

Kama kawaida, Alshabaab wadhihirisha umwamba kwa KDF baada ya kushambulia Hotel maarufu mjini Kismayu ambao upo chini ya ulinzi wa jeshi dhahifu la Kenya KDF, shambulio lililosababisha vifo vya zaidi ya watu 30 wakiwemo wanahabari wa mataifa mbalimbali.

Pia imesababisha majeruhi zaidi ya 50 wakiwemo raia wa nchi tukufu ya Tanzania. Ikumbukwe kwamba hii sio Mara ya kwanza wala Mara ya pili kwa Alshabaab kuwadhalilisha KDF kwa kufanya mashambulizi vile wapendavyo kwa wakati wowote wanapojisikia, iwe ndani ya Kenya, katika kambi za KDF huko Somalia, au katika maeneo yaliyochini ya KDF huko Somalia.

Udhahifu wa KDF kushindwa kulinda maisha ya raia sio tu unazidi kuleta hofu na wasiwasi ndani ya Kenya, bali hats nje ya Kenya. Miaka minne iliyopita kikosi cha kulinda amani cha KDF kilichopelekwa South Sudan, kilishindwa kulinda raia jambo lililosababisha karibu MKUU wa UN kipindi hicho Bwana Ban Kin-Mon, kumfurusha kama wa Kenya aliyekabidhiwa jukumu hilo jambo lililosababisha wakenya kususa na kuondoa wanajeshi wao goigoi waliokuwa wakilipwa pesa na UN wakati hawajafikia viwango vya kuwa katika vikosi vya UN.


Ungekuwa umefiwa usingeleta huu ujinga hapa....pumbavu
 
The topic is about weak KDF, R.I.P innocent lives lost under protection of weak and stupid KDF.
Last I checked Kismayu has had like 2 attacks since Kenya captured it.
Compared to Mogadishu where three months do not pass without an attack and I never see any of you claiming it is because Uganda, Burundi and Sierra Leone are weak
 
Last I checked Kismayu has had like 2 attacks since Kenya captured it.
Compared to Mogadishu where three months do not pass without an attack and I never see any of you claiming it is because Uganda, Burundi and Sierra Leone are weak
Because those countries are very humble, never claim they have best in anything.
 
Kuna mtu kadhara. Au kaleta mambo ya kipuuzi.
Mpuuzi ni wewe unalopoka bila kuelewa.
Tumeuliza utaia wao.
Wewe unaleta ujuaji.
Kufa kitu gani bwana. Kuna mtu ataishi milele kwani. [emoji57][emoji57][emoji57]
Uhai wa binadamu asiye na hatia una thamani kuliko kitu chochote. Uwe uhai wa Mtanzania, Msomali au Mkenya.

Acheni mambo ya kipuuzi kabisa, kufurahia kifo cha mtu asiye na hatia ni kujitafutia laana.

Vv

Vv
 
Last I checked Kismayu has had like 2 attacks since Kenya captured it.
Compared to Mogadishu where three months do not pass without an attack and I never see any of you claiming it is because Uganda, Burundi and Sierra Leone are weak
Point of correction, , Kismayu Town was made to be its own sector, The protection of the town was handed over to Ethiopian troops and given as Sector 6 .... Wachana na Joto la Jiwe anendelee kushobokea ujinga

somalia-amisom-2.jpg
 
Hahahaha, don't derail this subject in order to conceal weakness of KDF. The subject is about weakness of your stupid army, not about those deaths, unfortunately our citizens found themselves under crossfire but they were not targets.

I didn't know you are such a fool.You are an embarrassment to the good people of tanzania
 
Point of correction, , Kismayu Town was made to be its own sector, The protection of the town was handed over to Ethiopian troops and given as Sector 6 .... Wachana na Joto la Jiwe anendelee kushobokea ujinga

somalia-amisom-2.jpg
This explains it!!
KDF should have Gedo, Upper Juba and Middle Juba as well as Kismayo under its control. The Ethiopians have been doing a piss poor job in Gedo. Virtually all the Al Shabaab terrorists enter Kenya through Mandera and upper Wajir. Those IEDs blowing up are happening just adjacent to the Ethiopian sector.
You would think that Ethiopia, given how tightly they run their country, would replicate that in their sector
 
This explains it!!
KDF should have Gedo, Upper Juba and Middle Juba as well as Kismayo under its control. The Ethiopians have been doing a piss poor job in Gedo. Virtually all the Al Shabaab terrorists enter Kenya through Mandera and upper Wajir. Those IEDs blowing up are happening just adjacent to the Ethiopian sector.
You would think that Ethiopia, given how tightly they run their country, would replicate that in their sector
Ethiopian troops have been leaving their sectors then coming back months later without notice.... A reason why Kenya decided to set up an ad-hoc FOB inside Sector 3 which was supposed to manned by Ethiopian troops because Ethiopia troops had left the area.....

You will notice that El-Adde is inside Sector 3 which is for Ethiopia contingent to secure, but Ethiopian troops having left it open for several months and being close to Kenya, Kenyan troops had to stretch her troops further to also cover that sector .

somalia-amisom-2.jpg
 
Back
Top Bottom