Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 20,648
- 17,772
I'm not in pain but just wondering how empty your head is. How old are you anyway?Hahahaha, weak KDF is the reason for your pain.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I'm not in pain but just wondering how empty your head is. How old are you anyway?Hahahaha, weak KDF is the reason for your pain.
Kama kawaida, Alshabaab wadhihirisha umwamba kwa KDF baada ya kushambulia Hotel maarufu mjini Kismayu ambao upo chini ya ulinzi wa jeshi dhahifu la Kenya KDF, shambulio lililosababisha vifo vya zaidi ya watu 30 wakiwemo wanahabari wa mataifa mbalimbali.
Pia imesababisha majeruhi zaidi ya 50 wakiwemo raia wa nchi tukufu ya Tanzania. Ikumbukwe kwamba hii sio Mara ya kwanza wala Mara ya pili kwa Alshabaab kuwadhalilisha KDF kwa kufanya mashambulizi vile wapendavyo kwa wakati wowote wanapojisikia, iwe ndani ya Kenya, katika kambi za KDF huko Somalia, au katika maeneo yaliyochini ya KDF huko Somalia.
Udhahifu wa KDF kushindwa kulinda maisha ya raia sio tu unazidi kuleta hofu na wasiwasi ndani ya Kenya, bali hats nje ya Kenya. Miaka minne iliyopita kikosi cha kulinda amani cha KDF kilichopelekwa South Sudan, kilishindwa kulinda raia jambo lililosababisha karibu MKUU wa UN kipindi hicho Bwana Ban Kin-Mon, kumfurusha kama wa Kenya aliyekabidhiwa jukumu hilo jambo lililosababisha wakenya kususa na kuondoa wanajeshi wao goigoi waliokuwa wakilipwa pesa na UN wakati hawajafikia viwango vya kuwa katika vikosi vya UN.
Last I checked Kismayu has had like 2 attacks since Kenya captured it.The topic is about weak KDF, R.I.P innocent lives lost under protection of weak and stupid KDF.
Hahahaha, unashikishwa ukutaaaaa?Ungekuwa umefiwa usingeleta huu ujinga hapa....pumbavu
Because those countries are very humble, never claim they have best in anything.Last I checked Kismayu has had like 2 attacks since Kenya captured it.
Compared to Mogadishu where three months do not pass without an attack and I never see any of you claiming it is because Uganda, Burundi and Sierra Leone are weak
Uhai wa binadamu asiye na hatia una thamani kuliko kitu chochote. Uwe uhai wa Mtanzania, Msomali au Mkenya.
Acheni mambo ya kipuuzi kabisa, kufurahia kifo cha mtu asiye na hatia ni kujitafutia laana.
Vv
Vv
Point of correction, , Kismayu Town was made to be its own sector, The protection of the town was handed over to Ethiopian troops and given as Sector 6 .... Wachana na Joto la Jiwe anendelee kushobokea ujingaLast I checked Kismayu has had like 2 attacks since Kenya captured it.
Compared to Mogadishu where three months do not pass without an attack and I never see any of you claiming it is because Uganda, Burundi and Sierra Leone are weak
Hahahaha, don't derail this subject in order to conceal weakness of KDF. The subject is about weakness of your stupid army, not about those deaths, unfortunately our citizens found themselves under crossfire but they were not targets.
This explains it!!Point of correction, , Kismayu Town was made to be its own sector, The protection of the town was handed over to Ethiopian troops and given as Sector 6 .... Wachana na Joto la Jiwe anendelee kushobokea ujinga
![]()
Ethiopian troops have been leaving their sectors then coming back months later without notice.... A reason why Kenya decided to set up an ad-hoc FOB inside Sector 3 which was supposed to manned by Ethiopian troops because Ethiopia troops had left the area.....This explains it!!
KDF should have Gedo, Upper Juba and Middle Juba as well as Kismayo under its control. The Ethiopians have been doing a piss poor job in Gedo. Virtually all the Al Shabaab terrorists enter Kenya through Mandera and upper Wajir. Those IEDs blowing up are happening just adjacent to the Ethiopian sector.
You would think that Ethiopia, given how tightly they run their country, would replicate that in their sector