Alternate History: Idd Amin ashinda vita ya Kagera ya 1978/79. Mambo yangekuwaje?

Alternate History: Idd Amin ashinda vita ya Kagera ya 1978/79. Mambo yangekuwaje?

Bigmaaan

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2023
Posts
306
Reaction score
699
Binafsi, nimekuwa nikijiuliza, Mfano uvamizi ule wa Idd Amin Tanzania ungeisha kwa Idd Amin kuvishinda vikosi vya Tanzania, hali ingekuwaje? Leo 2024, tungekuwa na nchi ya Namna gani kisiasa, kijamii na kiuchumi? Tungekuwa na kanda ya ziwa sehemu ya Uganda?

Au Tanzania yote ingekuwa ni sehemu ya Uganda? Afrika Mashariki hii ingekuwaje? Kule maziwa makuu ingekuwaje? Siasa za harakati za ukombozi wa Afrika zingekuwaje?

Cc: Lycaon pictus MALCOM LUMUMBA JokaKuu
 
pngeparanganyika sana!,tungedofyolewa mno!.

yani mambo yangekuwa hivi makundi yakigaidi yangekuja kuweka kambi si wangeona kanchi hakana nguvu!,uchumi ungeendeshwa kibabe na yule mwamba.
 
Saa hizi ningekuwa Ruwenzori nachunga ankole wangu kama mia nne hivi.Amini alikua na mawazo kama Putin wa leo.Kuvamia,kuteka na kutwaa nchi.Very heathen ideas!
I think Putin umemkosea hapa; hizo nchi anazo zivamia kwanza zilikua ni majimbo ya Russia (USSR ya zamani ) zilivojitenga yeye na Warusi wengine walikubali though kwa shingo upande; chokochoko za Magharibi kuihusu Urusi ndio vimepelekea Putin kufanya anacho kifanya. Idd Amin yeye alivamia kwasababu gani? Hawafanani Hawa.
 
I think Putin umemkosea hapa; hizo nchi anazo zivamia kwanza zilikua ni majimbo ya Russia (USSR ya zamani ) zilivojitenga yeye na Warusi wengine walikubali though kwa shingo upande; chokochoko za Magharibi kuihusu Urusi ndio vimepelekea Putin kufanya anacho kifanya. Idd Amin yeye alivamia kwasababu gani? Hawafanani Hawa.
Hakuna tofauti.Kwani kabla ya Kongamano la Berlin 1886 bara la Afrika halkua moja tu?Putin ni jinga lingine kwenye zama hizi.
 
Hakuna tofauti.Kwani kabla ya Kongamano la Berlin 1886 bara la Afrika halkua moja tu?Putin ni jinga lingine kwenye zama hizi.
Fatilia vizuri tu; hutamlaumu Putin. Watu wakuwekee Zana za kukuchunguza nyumbani kwako, wewe ungekubali? Let us make this mfano; nyumba yako ni nzuri kiasi but bafu na choose chako vipo nje na juu havijaezekwa; yaani unaini mtu akiwa ju unaona kila kitu. Mwamba 1 anajenga ghorofa ili akiwa kwake anakuona vizuri; yaani unaoga jamaa anakuchungulia vifuu vyako vya NAZI na papuchi anaiona yaani; utafanyaje? Nakumbuka mwanzoni mwa miaka ya 90 lile ghorofa na friends coner selikali iliingiliaga kati ujenzi wake kwa sababu hizi nilizo zitoa hapa. Mbaya kumlaumu Putin kwa uvamizi kwa nchi zake za zamani halafu USA na Nato kuzivamia nchi zingine kama Libya, Iraq tunaona ni sawa.
 
Fatilia vizuri tu; hutamlaumu Putin. Watu wakuwekee Zana za kukuchunguza nyumbani kwako, wewe ungekubali? Let us make this mfano; nyumba yako ni nzuri kiasi but bafu na choose chako vipo nje na juu havijaezekwa; yaani unaini mtu akiwa ju unaona kila kitu. Mwamba 1 anajenga ghorofa ili akiwa kwake anakuona vizuri; yaani unaoga jamaa anakuchungulia vifuu vyako vya NAZI na papuchi anaiona yaani; utafanyaje? Nakumbuka mwanzoni mwa miaka ya 90 lile ghorofa na friends coner selikali iliingiliaga kati ujenzi wake kwa sababu hizi nilizo zitoa hapa. Mbaya kumlaumu Putin kwa uvamizi kwa nchi zake za zamani halafu USA na Nato kuzivamia nchi zingine kama Libya, Iraq tunaona ni sawa.
Kwa nini asiwafuate walioweka hiyo mitambo?
 
Kwa nini asiwafuate walioweka hiyo mitambo?
Ndio anacho kifanya baby; anapigana nao. Namna pekee ya kuwapiga walioweka hiyo mitambo, ni kupiga nchi ilizo karibisha ili waje wenye mitambo yao na kafanikiwa sana. Again; why tunamlaum Putin kwa kuzivamia nchi zake za zamani ambazo zimekua threat kwa usalama wake but tupo kimya na uvamizi wa USA na NATO kwa nchi kama Uraq, Libya, Afghanistan nk? Is it not double standard?
 
Ndio anacho kifanya baby; anapigana nao. Namna pekee ya kuwapiga walioweka hiyo mitambo, ni kupiga nchi ilizo karibisha ili waje wenye mitambo yao na kafanikiwa sana. Again; why tunamlaum Putin kwa kuzivamia nchi zake za zamani ambazo zimekua threat kwa usalama wake but tupo kimya na uvamizi wa USA na NATO kwa nchi kama Uraq, Libya, Afghanistan nk? Is it not double standard?
Hilo neno "baby" unamaanisha nini?Huna namna bora ya utetezi zaidi ya kuonesha unavyomuhusudu Putini aliye mjingamjinga kwa karne hii.
 
Hilo neno "baby" unamaanisha nini?Huna namna bora ya utetezi zaidi ya kuonesha unavyomuhusudu Putini aliye mjingamjinga kwa karne hii.
Mbona message yangu ina ujumbe mrefu na maswali mengi tu baby? Umeshindwa kabisa kujikita kwenye yale maswali but issue ndogo tu ndio ikutoe barabarani? Tuendelee na topic bhana; tulimaliza tunahamia kwa kamanda INSIDER MAN na uzi wake wa Uber na Iryn
 
Mbona message yangu ina ujumbe mrefu na maswali mengi tu baby? Umeshindwa kabisa kujikita kwenye yale maswali but issue ndogo tu ndio ikutoe barabarani? Tuendelee na topic bhana; tulimaliza tunahamia kwa kamanda INSIDER MAN na uzi wake wa Uber na Iryn
Sikujua kama najadiliana na mgawa kijambio shoga sugu mwili mzima.Kafie danguroni marabook wewe!Laana kum kabisa!
 
I think Putin umemkosea hapa; hizo nchi anazo zivamia kwanza zilikua ni majimbo ya Russia (USSR ya zamani ) zilivojitenga yeye na Warusi wengine walikubali though kwa shingo upande; chokochoko za Magharibi kuihusu Urusi ndio vimepelekea Putin kufanya anacho kifanya. Idd Amin yeye alivamia kwasababu gani? Hawafanani Hawa.
Russia haijawahi poteza jimbo lolote, wala hakuna nchi iliyowahi kuwa jimbo la Russia bali kuna nchi ziliunda USSR na Russia ikiwemo. Arusha haiwezi sema Tanga ni sehemu ya Arusha, bali zote mbili ni sehemu za Tanganyika.
 
Russia haijawahi poteza jimbo lolote, wala hakuna nchi iliyowahi kuwa jimbo la Russia bali kuna nchi ziliunda USSR na Russia ikiwemo. Arusha haiwezi sema Tanga ni sehemu ya Arusha, bali zote mbili ni sehemu za Tanganyika.
Kama nakuelewa vizuri ni kwamba enzi za USSR kilikua kuna nchi inaitwa Serbia, Ukraine, Urusi nk? Is that what you meant? Ieleweke pia hata USA hayo majimbo 50 kabla zilikua nchi; zilipo ungana ndio ikatokea nchi leo inaitwa Marekani au United States of America
 
Kama nakuelewa vizuri ni kwamba enzi za USSR kilikua kuna nchi inaitwa Serbia, Ukraine, Urusi nk? Is that what you meant? Ieleweke pia hata USA hayo majimbo 50 kabla zilikua nchi; zilipo ungana ndio ikatokea nchi leo inaitwa Marekani au United States of America
Kwanza kabisa unajua USSR ilianza lini? Na ilianzishwa na nchi gani ambazo kabla ya hapo zilikuwa zinaitwaje na zimeanza lini?

Kwani unaelewaje maana ya jina The Union of Soviet Socialist Republics (USSR). Zingatia wingi hapo kwenye REPUBLICS. Hizo huzijui idadi na majina?
Hujui sifa ya eneo la ardhi kuitwa Republic (Jamhuri kwa Kiswahili)?

Alafu ni kwamba hujui nchi iliyovunja muungano wa USSR ni Russia.

Unawezaje kusema Zanzibar ni sehemu ya Tanganyika kwa sababu zote zinaunda Tanzania.
 
Kuhusu mengine sijui ila pasi na shaka Chura Kiziwi angekuwa paje saa hizi anauza kalmati.
 
Kwanza kabisa unajua USSR ilianza lini? Na ilianzishwa na nchi gani ambazo kabla ya hapo zilikuwa zinaitwaje na zimeanza lini?

Kwani unaelewaje maana ya jina The Union of Soviet Socialist Republics (USSR). Zingatia wingi hapo kwenye REPUBLICS. Hizo huzijui idadi na majina?
Hujui sifa ya eneo la ardhi kuitwa Republic (Jamhuri kwa Kiswahili)?

Alafu ni kwamba hujui nchi iliyovunja muungano wa USSR ni Russia.

Unawezaje kusema Zanzibar ni sehemu ya Tanganyika kwa sababu zote zinaunda Tanzania.
Unapitia njia ndefu mno kujibu swali langu; mwaka ulioanzishwa USSR sio muhimu cause kila muungano una historia yake kama ilivo Tanzania. Swali langu ni rahisi tu; je wakati wa USSR Ukraine, Serbia, Chechnya, Crimea, Slovenia zilikua nchi? Nani alikua Rais wake? Benders zao na lini zilianza kutambulika kama nchi? Jikite hapo bro.
 
Back
Top Bottom