Alternate History: Idd Amin ashinda vita ya Kagera ya 1978/79. Mambo yangekuwaje?

Alternate History: Idd Amin ashinda vita ya Kagera ya 1978/79. Mambo yangekuwaje?

Unapitia njia ndefu mno kujibu swali langu; mwaka ulioanzishwa USSR sio muhimu cause kila muungano una historia yake kama ilivo Tanzania. Swali langu ni rahisi tu; je wakati wa USSR Ukraine, Serbia, Chechnya, Crimea, Slovenia zilikua nchi? Nani alikua Rais wake? Benders zao na lini zilianza kutambulika kama nchi? Jikite hapo bro.
Crimea haijawahi kuwa nchi. Kwanini unakwepa kuwa mwaka ulionzishwa USSR sio muhimu?

Jibu la swali lako ni ndio, kabla ya USSR nchi zilizokuja kuunda USSR zilikuwa nchi. Mfano mwanachama mmoja wa USSR, Armenia ni nchi ya kwanza ya Waislamu duniani kuwa secular kabla hata USSR haipo na kabla Russian Empire haijafa.

Kwanini USSR ilikuwa ni Union of Repuplics (Jamhuri)?
Au unataka kusema Kenya ni muungano wa jamhuri za Mombasa, Nairobi, Kisumu, etc?
 
Crimea haijawahi kuwa nchi. Kwanini unakwepa kuwa mwaka ulionzishwa USSR sio muhimu?

Jibu la swali lako ni ndio, kabla ya USSR nchi zilizokuja kuunda USSR zilikuwa nchi. Mfano mwanachama mmoja wa USSR, Armenia ni nchi ya kwanza ya Waislamu duniani kuwa secular kabla hata USSR haipo na kabla Russian Empire haijafa.

Kwanini USSR ilikuwa ni Union of Repuplics (Jamhuri)?
Au unataka kusema Kenya ni muungano wa jamhuri za Mombasa, Nairobi, Kisumu, etc?
Umeanza kuingiza na DINI tena sasa? Nauliza tena, wakati kuna USSR kulikua kuna nchi inaitwa Ukraine bro? Mbona rahisi tu. Fikiria kama intellectual na sio kama mwana dini bro.
 
Umeanza kuingiza na DINI tena sasa? Nauliza tena, wakati kuna USSR kulikua kuna nchi inaitwa Ukraine bro? Mbona rahisi tu. Fikiria kama intellectual na sio kama mwana dini bro.
Jibu kwanza maswali niliyokuuliza kisha uniulize. Maswali ni simple tu, kabla sijayauliza nimekujibu pia. Tunaizungumzia USSR. Ukijibu hapa tutaanzia hapo kwenye majibu yako
1. Kwanini unakwepa kuwa mwaka ulionzishwa USSR sio muhimu?

2. Kwanini USSR ilikuwa ni Union of Repuplics (Jamhuri)?
Au unataka kusema Kenya ni muungano wa jamhuri za Mombasa, Nairobi, Kisumu, etc?

3. Kwanza kabisa unajua USSR ilianza lini? Na ilianzishwa na nchi gani ambazo kabla ya hapo zilikuwa zinaitwaje na zimeanza lini?

4. Kwani unaelewaje maana ya jina The Union of Soviet Socialist Republics (USSR). Zingatia wingi hapo kwenye REPUBLICS. Hizo huzijui idadi na majina?
5. Hujui sifa ya eneo la ardhi kuitwa Republic (Jamhuri kwa Kiswahili)?
 
Unapitia njia ndefu mno kujibu swali langu; mwaka ulioanzishwa USSR sio muhimu cause kila muungano una historia yake kama ilivo Tanzania. Swali langu ni rahisi tu; je wakati wa USSR Ukraine, Serbia, Chechnya, Crimea, Slovenia zilikua nchi? Nani alikua Rais wake? Benders zao na lini zilianza kutambulika kama nchi? Jikite hapo bro.
Kama unaijua historia ya Soviet, basi utajua kuwa wakati USSR inaanza, mataifa manne ndio yaliyounda USSR—Urusi, Belarus, Ukraine na mjumuisho wa kina Armenia, Georgia & Azerbaijan. So Ukraine kama taifa limekiwepo toka USSR
 
Kama unaijua historia ya Soviet, basi utajua kuwa wakati USSR inaanza, mataifa manne ndio yaliyounda USSR—Urusi, Belarus, Ukraine na mjumuisho wa kina Armenia, Georgia & Azerbaijan. So Ukraine kama taifa limekiwepo toka USSR
Enzi rais wa USSR akiwa Mikhael Gobachov, nani alikua Rais wa taifa la Ukraine? Na bendera yao ilikuaje? Pitia pitia hata mitandaoni kidogo, nime screen shot hapo chini. Wakati USSR inavunjika already I was 20+ bro. Najua ninacho kiongea, nimelazimika ku Google kwasababu labda huko tunaweza kuongea lugha 1; nawafahamu baadhi ya watu waliopelekwa na serikali au mashirika ya serikali kwenda kusoma huko; wengine walikwenda Ukraine, wengine walikwenda Moscow nk. Naikumbuka pia siku ambayo Russia imeanguka, naukumbuka vizuri mwaka 1989 wakati rais wa Romania na Mkewe wametunguliwa kwenye ndege, tayari nilikua shule those years.
 

Attachments

  • Screenshot_20240910_194610_Google.jpg
    Screenshot_20240910_194610_Google.jpg
    624.2 KB · Views: 6
Enzi rais wa USSR akiwa Mikhael Gobachov, nani alikua Rais wa taifa la Ukraine? Na bendera yao ilikuaje? Pitia pitia hata mitandaoni kidogo, nime screen shot hapo chini. Wakati USSR inavunjika already I was 20+ bro. Najua ninacho kiongea, nimelazimika ku Google kwasababu labda huko tunaweza kuongea lugha 1; nawafahamu baadhi ya watu waliopelekwa na serikali au mashirika ya serikali kwenda kusoma huko; wengine walikwenda Ukraine, wengine walikwenda Moscow nk. Naikumbuka pia siku ambayo Russia imeanguka, naukumbuka vizuri mwaka 1989 wakati rais wa Romania na Mkewe wametunguliwa kwenye ndege, tayari nilikua shule those years.
Nadhani you're missing a point. Nachosema hapa, wakati wa USSR, Ukraine kama nchi ilikuwepo na ndio ziliunda shirikisho na ilikuwa na serikali yake—sasa utiifu wa hiyo serikali ulikuwa wapi au ilikuwa inaongozwa na nani, that's another issue.
Screenshot_20240910_211847_Chrome.jpg
 
Enzi rais wa USSR akiwa Mikhael Gobachov, nani alikua Rais wa taifa la Ukraine? Na bendera yao ilikuaje? Pitia pitia hata mitandaoni kidogo
Screenshot_20240910_212338_Chrome.jpg

Screenshot_20240910_212517_Chrome.jpg

Hao ndio waliokuwa wakuu wa nchi na serikali pamoja na bendera na nembo ya Ukraine iliyokuwa ndani ya USSR.
 
Back
Top Bottom