Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
- Thread starter
-
- #21
Great thinker wakitulia wanaweza kutuletea jina lingine zuri naona wasiridhike na hiliHili neno halitakiwi kubadilika kwasababu linakidhi mahitaji ya matumizi ya hapa kwa usawa. Hapa haijalishi wewe ni mdogo au mkubwa, wa kiume au wa kike utaitwa "Mkuu" vinginevyo utaanza ubaguzi,,,,,ukisema "Chief" hili lina ukakasi huwezi kumwita mwanamke chief, Labda useme "Mwanachama" [emoji23][emoji23]
Hii itakuwa ngumu maana huwezi kutambua ke na me fastaMkuu mi nishaona kuwa ni vema hili neno 'mkuu' nilitumie kwa wanaume tu, wanawake natumia 'mrembo'
[emoji3]
Kila siku kuna maendeleo hata jf wanaweza kuleta jina zaidi ya hilihili neno kamwe halitafutika jf maana ndio jina pekee lisilo na jinsia maalum,mwanamke,mtoto ,mtu mzima wakike au wa kiume unaweza mwita mkuu na lina fiti,mmana humu unaweza kuta mtu ana ID ya kike kumbe mwanaume au kinyume sojina mkuu linakubali mtu yoyote hata ma shemale
Hahahahaha sawa mkaamkuu libadili liwe mkaa itakuwa bora zaidi
Kwa sababu kila siku kuna mabadiliko.Na kwanini libadilike?
Kutambua jinsia bado kazi.Mnaonaje kwa mwanaume tutumie "MZEE BABA"
kwa wanawake tutumie "MZEE MAMA"
Hii itakuwa ngumu maana huwezi kutambua ke na me fasta
Inawezekana ila tatizo hili neno limetawala sana na ni vigumu kufutika HunterGreat thinker hamuwezi kuumiza kichwa kututafutia lingine neno mkuu lipate likizo.
Tutawaita chief'keHili neno halitakiwi kubadilika kwasababu linakidhi mahitaji ya matumizi ya hapa kwa usawa. Hapa haijalishi wewe ni mdogo au mkubwa, wa kiume au wa kike utaitwa "Mkuu" vinginevyo utaanza ubaguzi,,,,,ukisema "Chief" hili lina ukakasi huwezi kumwita mwanamke chief, Labda useme "Mwanachama" [emoji23][emoji23]
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Mkuu, ukifanikiwa kupata mbadala wa neno mkuu nishtue mkuu.
Hii video nimelewa mkuuNi heshima tu Mkuu bila kujali jinsia husika. Ukitaka mtongozo unabadili Mkuu na kuwa mupenzi, sweetlove, sweetheart chaguo lako Mkuu