Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
🙎Species inayoweza kumuelewa mwanamke ni mwanamke mwenzake, ndio maana wanachukiana.
🙅 Ukitaka kupoteza demu, wewe kuwa nice boy uone, then uki react kama bad boy kutokana na ukaidi wao unaitwa muonevu.
🙎 Uwajibikaji wa makosa kwa mwanamke ni kama maji na mafuta. Siku zote kwao anaekosea ni mwanaume.
🤦 Mwanamke hakomi. Kama wangekuwa wanakoma baada ya kuadhibiwa kutokana na ukaidi wao usinge muona baba yako anampiga mama yako mara kwa mara.
💇 Only time ambapo mwanamke anaweza akaridhika ni pale utampofanyia kitu cha kuboresha muonekano wake na sifa yake mtaani, ila ataridhika kwa muda, hatengenezi mark moyoni.
🤷 Mwanamke anatumia muda mwingi kukuchunguza kama unamchezea foul yeye kuliko kujichunguza yeye kama anakukosea wewe.
🧖 The more unavyokuwa mwema kwa mwanamke, the more anavyozidisha dharau kwako.
🧑🍼Asilimia kubwa sana ya wanawake walioko na nyie ni kwa sababu ya dhamana fulani kwenu. e.g watoto wake kama single mother, wewe ndio ulikuwa una pesa zaidi ya boyfriends wa rafiki zake, familia yenu ndio ilikuwa maarufu kijijini, ulikuwa na harrier mpenzi wake alikuwa na spacio, etc
🫦 Wanawake ni wadhaifu katika cheating. Wanaume wengi waanacheat kutokana mawazo ya kiporno porno wliyonayo ila nyumbani heshima inabakia 100% ila wanawake wengi waki cheat hadi vyombo vya nyumani ndio anabebea kumpelekea mchepuko chakula gesti hata mtoto mdogo anaweza kwenda nae gesti amuache mapokezi amsubirie amalizane na njemba yake.
View: https://youtube.com/shorts/PC6lEODpu3I?si=kssk95IbBSoO_M1u
🙅 Ukitaka kupoteza demu, wewe kuwa nice boy uone, then uki react kama bad boy kutokana na ukaidi wao unaitwa muonevu.
🙎 Uwajibikaji wa makosa kwa mwanamke ni kama maji na mafuta. Siku zote kwao anaekosea ni mwanaume.
🤦 Mwanamke hakomi. Kama wangekuwa wanakoma baada ya kuadhibiwa kutokana na ukaidi wao usinge muona baba yako anampiga mama yako mara kwa mara.
💇 Only time ambapo mwanamke anaweza akaridhika ni pale utampofanyia kitu cha kuboresha muonekano wake na sifa yake mtaani, ila ataridhika kwa muda, hatengenezi mark moyoni.
🤷 Mwanamke anatumia muda mwingi kukuchunguza kama unamchezea foul yeye kuliko kujichunguza yeye kama anakukosea wewe.
🧖 The more unavyokuwa mwema kwa mwanamke, the more anavyozidisha dharau kwako.
🧑🍼Asilimia kubwa sana ya wanawake walioko na nyie ni kwa sababu ya dhamana fulani kwenu. e.g watoto wake kama single mother, wewe ndio ulikuwa una pesa zaidi ya boyfriends wa rafiki zake, familia yenu ndio ilikuwa maarufu kijijini, ulikuwa na harrier mpenzi wake alikuwa na spacio, etc
🫦 Wanawake ni wadhaifu katika cheating. Wanaume wengi waanacheat kutokana mawazo ya kiporno porno wliyonayo ila nyumbani heshima inabakia 100% ila wanawake wengi waki cheat hadi vyombo vya nyumani ndio anabebea kumpelekea mchepuko chakula gesti hata mtoto mdogo anaweza kwenda nae gesti amuache mapokezi amsubirie amalizane na njemba yake.
View: https://youtube.com/shorts/PC6lEODpu3I?si=kssk95IbBSoO_M1u