Although ni watu special sana, ila kuna kitu hakiko sawa kuhusu wanawake

Although ni watu special sana, ila kuna kitu hakiko sawa kuhusu wanawake

Nikishaonaga boy, boy naona bado ni utoto. Nakumbuka vijana wangu walipobalee. Unakuta Signature yake ni Hussle Boy na wenzake badala ya kumuita jina ulilompa lets say Filimbi wao wanamwita Hussle.

Weekend Kabinti kanakuja, unakasikia kanaamkia mama Filimbi huko, Shikamoo, nimemkuta Husstle? Kanaulizwa nani? Kanajibu, Filimbi.
 
🙎Species inayoweza kumuelewa mwanamke ni mwanamke mwenzake, ndio maana wanachukiana.

🙅 Ukitaka kupoteza demu, wewe kuwa nice boy uone, then uki react kama bad boy kutokana na ukaidi wao unaitwa muonevu.

🙎 Uwajibikaji wa makosa kwa mwanamke ni kama maji na mafuta. Siku zote kwao anaekosea ni mwanaume.

🤦 Mwanamke hakomi. Kama wangekuwa wanakoma baada ya kuadhibiwa kutokana na ukaidi wao usinge muona baba yako anampiga mama yako mara kwa mara.

💇 Only time ambapo mwanamke anaweza akaridhika ni pale utampofanyia kitu cha kuboresha muonekano wake na sifa yake mtaani, ila ataridhika kwa muda, hatengenezi mark moyoni.

🤷 Mwanamke anatumia muda mwingi kukuchunguza kama unamchezea foul yeye kuliko kujichunguza yeye kama anakukosea wewe.

🧖 The more unavyokuwa mwema kwa mwanamke, the more anavyozidisha dharau kwako.

🧑‍🍼Asilimia kubwa sana ya wanawake walioko na nyie ni kwa sababu ya dhamana fulani kwenu. e.g watoto wake kama single mother, wewe ndio ulikuwa una pesa zaidi ya boyfriends wa rafiki zake, familia yenu ndio ilikuwa maarufu kijijini, ulikuwa na harrier mpenzi wake alikuwa na spacio, etc

🫦 Wanawake ni wadhaifu katika cheating. Wanaume wengi waanacheat kutokana mawazo ya kiporno porno wliyonayo ila nyumbani heshima inabakia 100% ila wanawake wengi waki cheat hadi vyombo vya nyumani ndio anabebea kumpelekea mchepuko chakula gesti hata mtoto mdogo anaweza kwenda nae gesti amuache mapokezi amsubirie amalizane na njemba yake.


View: https://youtube.com/shorts/PC6lEODpu3I?si=kssk95IbBSoO_M1u

Well said
 
Kila siku huwa nasema namna pekee ya mwanaume kuwa salama mbele ya mwanamke ni kujipa kipaumbele wewe mwenyewe kwenye kila kitu.

Mwanaume pia unahitaji kula vizuri, kuvaa vizuri, kulala vizuri na kuishi vizuri.
Hakika.
 
Hawa watu balaa aisee, me nahisi huyu ndo anaelekea kuniua sasa nife kabisa.Maana like namuelewa,na wanasemaga ukianza kumwelewa mwanamke jua ndo unaelekea kufa
Hahaahh daah
 
🙎Species inayoweza kumuelewa mwanamke ni mwanamke mwenzake, ndio maana wanachukiana.

🙅 Ukitaka kupoteza demu, wewe kuwa nice boy uone, then uki react kama bad boy kutokana na ukaidi wao unaitwa muonevu.

🙎 Uwajibikaji wa makosa kwa mwanamke ni kama maji na mafuta. Siku zote kwao anaekosea ni mwanaume.

🤦 Mwanamke hakomi. Kama wangekuwa wanakoma baada ya kuadhibiwa kutokana na ukaidi wao usinge muona baba yako anampiga mama yako mara kwa mara.

💇 Only time ambapo mwanamke anaweza akaridhika ni pale utampofanyia kitu cha kuboresha muonekano wake na sifa yake mtaani, ila ataridhika kwa muda, hatengenezi mark moyoni.

🤷 Mwanamke anatumia muda mwingi kukuchunguza kama unamchezea foul yeye kuliko kujichunguza yeye kama anakukosea wewe.

🧖 The more unavyokuwa mwema kwa mwanamke, the more anavyozidisha dharau kwako.

🧑‍🍼Asilimia kubwa sana ya wanawake walioko na nyie ni kwa sababu ya dhamana fulani kwenu. e.g watoto wake kama single mother, wewe ndio ulikuwa una pesa zaidi ya boyfriends wa rafiki zake, familia yenu ndio ilikuwa maarufu kijijini, ulikuwa na harrier mpenzi wake alikuwa na spacio, etc

🫦 Wanawake ni wadhaifu katika cheating. Wanaume wengi waanacheat kutokana mawazo ya kiporno porno wliyonayo ila nyumbani heshima inabakia 100% ila wanawake wengi waki cheat hadi vyombo vya nyumani ndio anabebea kumpelekea mchepuko chakula gesti hata mtoto mdogo anaweza kwenda nae gesti amuache mapokezi amsubirie amalizane na njemba yake.


View: https://youtube.com/shorts/PC6lEODpu3I?si=kssk95IbBSoO_M1u

Aisee
 
Nikishaonaga boy, boy naona bado ni utoto. Nakumbuka vijana wangu walipobalee. Unakuta Signature yake ni Hussle Boy na wenzake badala ya kumuita jina ulilompa lets say Filimbi wao wanamwita Hussle.

Weekend Kabinti kanakuja, unakasikia kanaamkia mama Filimbi huko, Shikamoo, nimemkuta Husstle? Kanaulizwa nani? Kanajibu, Filimbi.
Mkuu kwann umuite kijana wetu Filimbi lakn? Hata me ningetafta nickname, kaua sana dogo Hussle boy 😂😂
 
🙎Species inayoweza kumuelewa mwanamke ni mwanamke mwenzake, ndio maana wanachukiana.

🙅 Ukitaka kupoteza demu, wewe kuwa nice boy uone, then uki react kama bad boy kutokana na ukaidi wao unaitwa muonevu.

🙎 Uwajibikaji wa makosa kwa mwanamke ni kama maji na mafuta. Siku zote kwao anaekosea ni mwanaume.

🤦 Mwanamke hakomi. Kama wangekuwa wanakoma baada ya kuadhibiwa kutokana na ukaidi wao usinge muona baba yako anampiga mama yako mara kwa mara.

💇 Only time ambapo mwanamke anaweza akaridhika ni pale utampofanyia kitu cha kuboresha muonekano wake na sifa yake mtaani, ila ataridhika kwa muda, hatengenezi mark moyoni.

🤷 Mwanamke anatumia muda mwingi kukuchunguza kama unamchezea foul yeye kuliko kujichunguza yeye kama anakukosea wewe.

🧖 The more unavyokuwa mwema kwa mwanamke, the more anavyozidisha dharau kwako.

🧑‍🍼Asilimia kubwa sana ya wanawake walioko na nyie ni kwa sababu ya dhamana fulani kwenu. e.g watoto wake kama single mother, wewe ndio ulikuwa una pesa zaidi ya boyfriends wa rafiki zake, familia yenu ndio ilikuwa maarufu kijijini, ulikuwa na harrier mpenzi wake alikuwa na spacio, etc

🫦 Wanawake ni wadhaifu katika cheating. Wanaume wengi waanacheat kutokana mawazo ya kiporno porno wliyonayo ila nyumbani heshima inabakia 100% ila wanawake wengi waki cheat hadi vyombo vya nyumani ndio anabebea kumpelekea mchepuko chakula gesti hata mtoto mdogo anaweza kwenda nae gesti amuache mapokezi amsubirie amalizane na njemba yake.


View: https://youtube.com/shorts/PC6lEODpu3I?si=kssk95IbBSoO_M1u

kama ilivyo kwa wanaume tu
 
Back
Top Bottom