Although ni watu special sana, ila kuna kitu hakiko sawa kuhusu wanawake

Hii ni point
 
Hapana mkuu, sio maarifa, wametuzidi ujajanja.

Mwanaume ndio ana maarifa ila mwanamke ni mjanja zaidi.
 
Hahaha hili la wao kuona hawakosei,ujuaji mwingi hili haliweze potea kamwe
 
Washakuumiza nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…