MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Tujitokeze kuwapa vijana wetu nguvu, tujitahidi yawe maandamano ya amani ila polisi (FFU) wakiliamsha inabidi twende nao vivyo hivyo, uzuri kwenye hili tumeungana sote hamna migawanyiko, kimsingi ni serikali isikilize na kufanyia kazi malalamiko, wala hatuna ugomvi.
Wapambe wa rais mshaurini vizuri asichukulie poa, akubali kukutana na vijana wetu na kuskliza na kufanyia kazi malalamiko na baada ya hapo maisha yatarudia hali ya kawaida, ila mkimpa jeuri afanye ubabe, itabidi ngoma ichezwe usiku wote, wiki yote, je hawa polisi wamejiandaa vipi mikimbio ya kila siku.
Halafu kuna huyu dogo alichomoka nduki na farasi ya polisi, jameni aombwe airejeshe, ha ha ha hii nchi movie kila siku....
Bei Facebook anmelden
Wapambe wa rais mshaurini vizuri asichukulie poa, akubali kukutana na vijana wetu na kuskliza na kufanyia kazi malalamiko na baada ya hapo maisha yatarudia hali ya kawaida, ila mkimpa jeuri afanye ubabe, itabidi ngoma ichezwe usiku wote, wiki yote, je hawa polisi wamejiandaa vipi mikimbio ya kila siku.
Halafu kuna huyu dogo alichomoka nduki na farasi ya polisi, jameni aombwe airejeshe, ha ha ha hii nchi movie kila siku....
Bei Facebook anmelden