Nimeona like application hazijafunguliwa mpaka ifikapo 15th March...Na ni five days a week weekends kunakua hamna tasks, na siku ambazo hazina tasks ni zile za PLD , so kuna wiki unaweza pata siku hata tatu tu ndio zenye kazi zingine ni P.S
Sawa,nimeuliza tu, cuz nina calculator yangu hapa(zile za shuleni,) nataka niipige bei niongezee ela ya pc.nimeona nisije kuuza halafu nikute kwenye kozi inahitajika tena.Mh! Inaweza maybe sababu kuna calculations fulani fulani ila sio mandatory, unaweza tumia hata calculator ya simu, ama diwnload scuentific calculator
Hakuna cha ajabu kwenye syllabus, PC yoyote itafanya.Na, pc ya kawaida itafaa? Au ni mpaka "Programming PC" Step_Rocker
Pc ya kawaida itafaa kutokana na curicullum ilivo, sidhani kama kuna haja ya kua na pc powerful sana, anza na ulio nayoNa, pc ya kawaida itafaa? Au ni mpaka "Programming PC" Step_Rocker
Sawa,nimeuliza tu, cuz nina calculator yangu hapa(zile za shuleni,) nataka niipige bei niongezee ela ya pc.nimeona nisije kuuza halafu nikute kwenye kozi inahitajika tena.
Nimeona like application hazijafunguliwa mpaka ifikapo 15th March...
Hio inategemea na speed yako ya ku-catch materials na kuendana na deadline, unaeza tumia chini ya hapoElimu tunaipenda ila kwa 10hrs per day watatuua hawa
Siku hizi kumekua na ongezeko kubwa la programming bootcamps ambazo hutoa mafunzo ya programming, lakini nyingi kama sio zote hutoa mafunzo kwa bei kubwa huku wakihakikisha uhakika wa ajira baada ya mafunzo yao.
Zingine zinatoa mafunzo bure na kukutafutia connection za ajira na malipo ni baada ya kupata ajira hio mfanowe ni kama;
-->Microverse
-->Holberton university.
na nyinginezo uki-google unaweza pata taarifa zaidi. Sasa kuna hii software engineering programme inatolewa na Alx wakishirikiana na Holberton university, ikiwalenga vijana wa Africa kati ya miaka 18-35.
Programme inafanyika ndani ya mwaka mzima marrra baada ya kujiunga na ni bure kabisa. Vitu wanavyohitaji kutoka kwa anayetaka kujifunza.
Je unadhani inaweza kua fursa kwa vijana kujiboresha kwenye programming ikiwa hasa imejikita kwa vijana wa Africa kwenye teknolojia.
- 12 months, 70 hours/week
- English proficiency
- Access to a desktop or laptop
- No prior programming experience required, in-course assessment
- Commitment and determination
Software Engineering by ALX - Certify in 9-12 months
12 month Software Engineering programme by African Leadership, ALX. Develop now.www.alxafrica.com
Njoo pm mkuu
Hata hujachelewaNipo jamn tayar au nishachelewa?
Shukran mkuuHata hujachelewa
mkuu vipi bado ujapata fursa ya ALX?Nipo jamn tayar au nishachelewa?
Bado mkuu na mambo ni mengi umeona mahali!mkuu vipi bado ujapata fursa ya ALX?
juzi tu wametoa fursa aisee na tayari wameshachukua watu kozi inaanza tarehe 17Bado mkuu na mambo ni mengi umeona mahali!