Alx software engineering programme

Alx software engineering programme

Mh! Inaweza maybe sababu kuna calculations fulani fulani ila sio mandatory, unaweza tumia hata calculator ya simu, ama diwnload scuentific calculator
Sawa,nimeuliza tu, cuz nina calculator yangu hapa(zile za shuleni,) nataka niipige bei niongezee ela ya pc.nimeona nisije kuuza halafu nikute kwenye kozi inahitajika tena.
 
Siku hizi kumekua na ongezeko kubwa la programming bootcamps ambazo hutoa mafunzo ya programming, lakini nyingi kama sio zote hutoa mafunzo kwa bei kubwa huku wakihakikisha uhakika wa ajira baada ya mafunzo yao.

Zingine zinatoa mafunzo bure na kukutafutia connection za ajira na malipo ni baada ya kupata ajira hio mfanowe ni kama;

-->Microverse
-->Holberton university.
na nyinginezo uki-google unaweza pata taarifa zaidi. Sasa kuna hii software engineering programme inatolewa na Alx wakishirikiana na Holberton university, ikiwalenga vijana wa Africa kati ya miaka 18-35.

Programme inafanyika ndani ya mwaka mzima marrra baada ya kujiunga na ni bure kabisa. Vitu wanavyohitaji kutoka kwa anayetaka kujifunza.
  • 12 months, 70 hours/week
  • English proficiency
  • Access to a desktop or laptop
  • No prior programming experience required, in-course assessment
  • Commitment and determination
Je unadhani inaweza kua fursa kwa vijana kujiboresha kwenye programming ikiwa hasa imejikita kwa vijana wa Africa kwenye teknolojia.

Screenshot_20230422_023804_Samsung Internet.jpg
 
Bila kusahau kwamba program inahita waty ambao wako commited 100% na pia uwe tayari kufanya vitu vigumu DO HARD THINGS kama slogan yao inavyosema
 
Back
Top Bottom