Alx software engineering programme

Bila kusahau kwamba program inahita waty ambao wako commited 100% na pia uwe tayari kufanya vitu vigumu DO HARD THINGS kama slogan yao inavyosema
Mbona kutishana, natamani sana kujifunza data analytics
 
Inaendeleaje hii kitu?

Kusema ukweli soko la ajira kwa programming limeyumba vibaya sana kwa watu wapya nchi za magharibi, nadhani mmeona watu wanavyoachishwa kazi, bootcamps ni ngumu kuzisikia siku hizi.

Sijui kwa Africa hali ikoje na kama hii kitu bado "inalipa" hasa kwa mateso haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…