am i ....normal

am i ....normal

Mhhhh....Kaizer mbona unamtisha mwenzio hivyo bana???!!!!

Mzima lakini wewe?

am good Keren my dear....missed u big time....wacha ni do ze nidiful

Ila simtishi, thats the other side of the coin....LOL....if you make a 'bad choice'
 
Veve bint iko penda sana starehe?jungumuzo yako iko rivasi toa rivasi weka bele,watu miminia veve ile kitu.
 
Veve bint iko penda sana starehe?jungumuzo yako iko rivasi toa rivasi weka bele,watu miminia veve ile kitu.

Hahahaha hiyo lugha yako imeniacha hoi, nimecheka mpaka basi mwe!
 
itakutokea utapata mwenza ambaye utatamani sana mzae nae...hapo wala hutashangaa kujikuta u mama tayari tena aliye ngangari kwa kila kitu
 
Hahahaha umenikumbusha mbali my dear lol, hapo pa kubembeleza wangu hasa ilikua kwenye kula nadhani pauline angeona usumbufu wa huyu ndio asingezaa kabisa mwe! mpaka ameze kijiko kimoja cha uji umeshajiimbisha, unaamka unamchezea na hata ngoma nidio anacheka uji unaenda unaanza tena kingine mpaka uishe viungo vyote vinauma aisee, yaani huyu mtoto alinifanya nikae nyumbani muda mrefu maana hakuna ambae alikua anamuweza kwenye kula, ila ukishamaliza hizo kero unasahau kabisa kesho unaanza tena lol, Mwenyezi Mungu alitupa ujasiri wa ajabu sana sisi wamama.

Ngoja nijipigie makofi he! na wamama wote popote mlipo kwa kwa kwa! maana kulea si mchezo ati

Umenigusa mimi kabisa,watoto wangu hawakuwa wakipenda kula wanapokuwa wadogo.mtoto wa kwanza alizaliwa pre mature ivyo alikuwa na umbo dogo kulinganisha na umri wake;akaja kukataa chakula,ilibidi nimuaidi dada kumpa nguo na kiatu kila mtoto atakapoongezeka kilo na zaidi,hii trick ilisaidia kwani kwa usumbufu aliokuwa nao mtoto angepata kwashiakor.Umenikumbusha mbali Maty
 
Kila kitu kizuri kina gharama.ule usumbufu wa mimba na ule wa kulea ndio uleta thamani ya mtoto .Kwa sasa unaona ni taabu lakini mda wa kuhitaji mtoto ukifika utatafuta kwa nguvu zote,na utafika tu mama kwan ujana una kikomo:kuna siku utakuwa unfit kuingia club
 
Back
Top Bottom