Am I wrong if I process divorce?

Inafikirisha sana kwakweli
 
yaani wewe mkuu una roho ngumu sasa hapo unamshauri apende nini
 

Mwanaume anayepiga mke Hafai kabisa
 
Wakati mwingine hawa wake zetu huwa tunawaonea sana bas tu. Unamnyanyasa , unampa mateso, unamdharau anakuvumilia tu. Umnyime na dicck! haki ya msingi kbs ya ndoa daaaah! NOT FAIR kwakweli
Jamaa anamuona kama mbuzi tu πŸ˜… ambaye kafungwa kamba shingoni hana pa kwenda πŸ˜…
 
Ni vizuri umefahamu umezidiwa. Anza mikakati sasa ya kipi cha muhimu unahitaji kutoka hapo nyumbani na vile unavyoweza kuhamisha kirahisi uanze kuvihamisha mara moja kwa kumshirikisha msiri wako dada yako. Na vile ambavyo si rahisi basi inabidi hata uchukue off kazini na ujue hatakuwepo nyumbani na unaandaa watu wanakuja kuhamisha na wewe ndiyo unasepa kimoja. Watoto wachukue kwani bado wadogo.

I could swear to any name you would want me to...huwaga nasomaga tu bila account yoyote mpaka nilivyoona nazidiwa
 
wengine tukiona demu anajilengesha sana tunamkwepa...wewe itabidi utumie nguvu kudanga kwa kujilengesha
Nguvu zipi si anajipendekeza kwa Gym trainer au Viben 10 anakipa hela ya jeans na sendeu zao za kariakoo zile kinampiga pumbu akikichoka anakitemaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… haya makundi mawili hayakataagi free papuchi
 
Msiwadanganye wanawake wafie kwenye ndoa.
Mchungaji mmoja alisema "Some Separations are a Salvation and some Divorces are a Delivarance"
Rosiela , Jiokoe mama, hakuna wa kukuokoa
Kabisa kabisa.
Some are salvation and deliverances
 
Jamaa anamuona kama mbuzi tu [emoji28] ambaye kafungwa kamba shingoni hana pa kwenda [emoji28]
Anakosea sana, nyumbani ni nyumbani lazima utembeze ub0o hadi mke ajiulize huyu baba inakuwaje anchapa nje na ako na pigo za ukweli uwanja wa nyumbani[emoji1]
 
Heeeeh haya mawazo na mtazamo huu ndo wengi wanakufa au kupata vilema ndani ya ndoa lol.
Hapana kwa kweli. Mweeeeh
 
Huo ndio ukweli.

Dr nikuletee ngapi kwa bili yangu.
 
@Saint Anne njoo soma hapa. Lol
 
Na wewe tu unafikiria huwa ngumu mitongozo daily unaangalia aliyekuvutia na sio kujilengesha
Hahahah wale wa kwenye wishlist unasogeza mmoja ndani πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… ila mwanamke easy sana kujisevia makende kuliko sie wataftaji wa utelezi!

Inabidi uwe na bay ya papuchi nyingi ili siku ukame ukizidi unaiseti moja unailabua πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… ila kimbembe ukiwa single kama gundu madem wanakukataa kisenge!
 
Run. ..run run...
Divorce or no divorce just run and run..

Why miaka yote unevumilia?

Mlikutana wapi kwanza??

So sad...just run na asijue unaishi wapi..

Ofisin waambie wakimuona wajue mmeshaachana agiza walinzi wampe kipigo cha kutosha..
Hakika kabisa.
 
Mwenye nacho huongezewa mzeπŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…