Am I wrong if I process divorce?

Am I wrong if I process divorce?

Hello,
I have always been reading threads without commenting. Kwanini nimeanzisha hii thread?

I am a married lady..in my very early 30s( with over 11 years of marriage experience). I got married when I was in my early 20s. Graduated my masters in my very early 20s as well.

It has never been a peaceful marriage pamoja na jitihada nyingi nilizofanya mimi kuisimamia na kujinyenyekeza kwa kuweka elimu na appearance yangu pembeni. Kifupi tu ya ninayopitia;

1. Being heavily beaten mpaka kulazwa whenever he drinks( mind you, he is a regular drinker)

2. Hakuwahi kuja msiba wa baba yangu mzazi sababu kuu 'alikuwa na washkaji trip'

3. Sijui sh.yake japo anajenga..so i pay for house and family needs mpaka nilipojua ameandikisha hio nyumba jina la ndugu yake

4. Gari pia nilimpa hela akaninunulie yard hapa mjini karudi kaiweka jina lake. Sio kwamba hana hela..no he is financially stable.( sijui ananikomoa nini na sijawahi kutishia kuondoka wala nini-kwa wanaonijua nje wanaweza kuthibitisha hili)

5. Restrictions with my dress code. Anataka nishone vitenge mpaka miguuni. Ana wivu wa ajabu sana na mimi kupendeza au hata kusuka nywele hataki. Hataki nivae suruali,jeans and he found me wearing all those.He wants me rough NOW na anasema nataka kupendeza kwa ajili ya nani? Ananitumia mpaka threads sijui za wanawake 'wenye makalio makubwa hawana akili' nijitathmini na mimi(he picks everything from the internet). Hili halinisumbui sana because i know nina akili ya shule na maisha pia

6. Sex life is bad..very bad( nilishakamata mengi kwenye simu yake). And to be honest it is better this way..kwamba hatushiriki like normal married couples miezi minne sasa na wala hajali yani sawa tu kwake. Binafsi nitavumilia sababu afya yangu matters a lot

7. Sijawahi kumjibu chochote, ninaomba msamaha hata ninapokosewa, ninaandaa bedroom na scents nzuri, napika napeleka mtoto kwa dada yangu for sleep over ili tupate muda fulani ila ndio anarudi alfajiri na asubuhi ananiuliza nani kanifundisha mambo ya kihuni. Vikao vilishakaliwa mno..i know for a fact, he won't change.

8. I have shared my case kwa mtu mmoja tu,a man lately..ambae amekuwa so concerned na sijui tutaenda nae wapi as am beginning to fall in love na yeye(najua inabidi niwe muangalifu kwa wanaokuja kusikitika na mimi kumbe amenitamani tu kutokana na physical appearance and all that)

Sijaacha kuwa msafi..sijaacha kujipenda BUT i am dying deep down. NO LOVE NO SUPPORT hata ile kidogo na sijamuongelesha kwa mara ya kwanza toka anipige miezi 4 iliopita na kulazwa(sababu hapa ilikuwa sikuvaa nguo kama madira ambapo kazini siwezi kuvaa japo navaa kiheshima sana yet smart)na kisha kurudi nyumbani baada ya kusuluhishwa..hajui naishi vipi japo nina kazi yangu ni kama KAKA NA DADA.

Our wedding was a church wedding. NIMECHOKA. Sijui naanzia wapi kutoka but ninahitaji kutoka kwenye hiki kifungo

I believe atakuja kunifukuza kwenye nyumba alioiandika jina la ndugu yake. Maana hapa ni kama mpangaji na hela anayo mpaka ya kunywa ma hennessy kila weekend. I am a God fearing person deep down..sana! Sikuwahi kuwaza kwanini wengine wananunuaga viwanja pembeni..na nilikuwa mtu wa kwanza kupinga wanawake wa aina hii.

Ninasukumwa kuanza 'ku save kidogokidogo' na kupunguza kulisha familia ili nijipange na kibanda changu japo najiuliza mpaka nimefanikiwa kumaliza kujenga sio leo wala kesho i assume(kutokana na nachoki earn) na nitakuwa tortured kwa level ipi mpaka nimalize kujenga. Niko confused hasa

But I need advice..ninachanganyikiwa hata kazini performance inashuka.
Kindly advice
My dear your need to be strong and move on. We live only once
 
Ushauri wangu uta-base katika assumption MOJA, kwamba haya YOTE uliyoandika ni ukweli mtupu, huja-exagregate. Kama umeweka na chumvi na pilipili, basi huu ushauri unaweza usikufae sana; Kwa hiyo kama kawaida ya ushauri, uchanganye na za kwako.
1.Huyo mwanaume HAJAWAHI kukupenda kamwe.
2.Huyo mwanaume anakuona ni bonge moja la ZOBA, zumbukuku mzungu wa reli usiyeweza kuishi bila yeye.
3.Kama bado hujapata magonjwa ya ngono na/au UKIMWI, ni suala la muda tu kama ukiendelea kubaki hapo.
4.Tatizo halipo kwake, tatizo lipo KWAKO (yeah, read that again.)
5.Hao watoto ni wa kwako peke yako au ni wa kwako na wa kwake? (Read that between the lines, its a rhetorical question).
6.Divorce is not your priority for now (trust me, your life is more important, and you do not need a divorce to save your life)
7.Huyo comforter, trend very carefully. Wanaume huwa tunaweza ku-smell a woman who is not taken care well and use that just to "tap that ass".
8.Kuna waliosema wanabaki kwenye ndoa kwa ajili ya watoto, wakaishia kufa kwa UKIMWI na kuwaacha hao watoto (I know two of such), think critically on your decisions about that.
9.Hata ujinga una mwisho wake.
Rosiela
Umeongea vizuri docta. Asipoelewa hapa sijui atamuelewa nani mwingine
 
Hiyo namba mbili hapo...huenda una "look good" mno unakua sexy au sexual mwamba anakua threatened ndio maana anageuka kichaa namna hii?

Unaweza uka tone down kidogo aisee na hiyo "looking good" maana jamaa ana moyo mdogo

Looking good jumlisha na hilo tako,jamaa ana-loose the whole shit....na yule number 8 alishamfuma kwenye simu I guess...

Mwanaume hua anakua kichaa akisha-loose control of his woman sexually to another man whether huyo mwanaume ni real au imaginary

Vaa dira aisee....trust me utaokoa hiyo ndoa...au jipunguze matako yaishe...hahahaaa
🤣🤣🤣🤣 dada yangu aliniambia hivi pia ni mtu pekee anaejua hizi changamoto zangu. Lakini nimekataa kuvaa dira kazini. Nilikata nywele baada ya kipigo March lakini anatuma msg ambazo sizijibu kwa sasa..kwamba nimechukiza sana kunyoa bora nivae ma wig. Binafsi sipendi wigs..its either my own natural hair au ninyoe hivi na nimeridhika sana na nilivyonyoa baada ya dada yangu(msiri wangu) kuniambia nimependeza na yeye akakutana na rafiki yake mmoja aliniona ofisini akamwambia ' shem' amenyoa amependeza sanaa...ndio akaja na msg ya kuniambia ninachukiza sana na simvutii. Sijamjibu mpaka leo..anasema simheshimu..ukimya umekuwa amani kwangu maana naona ana play psychology
 
My Lovely sister Rosiela
I have nothing much to say abou the censorious circumstance that you're going through as a married woman, but consider my opinions for the better life in the future.

There are so many factors that contribute to a satisfying marriage or relationship as follows;

Commitment,Trust,time,attention,Good communication include listening, partnership, tolerance, patience, respect&sharing, generosity&consideration, ability to compromise and constructive.

I believe you use to be happy in the beginning but now you're suffering and intense heart bleeding. Just look at you child/children in a different because they need you more than anything else. If you could't make it work there you're then it may work somewhre else.

At the end I'd like to conclude this by saying LISTEN YOUR HEART

It's your lovely brother
Mokobe
 
Umeona mzee, yaani ni weakness gani hizo...huku ni kujifagilia wazi kabisa. Ateje toxic weaknesses tumpime kama jamaa ni mbuzi au yupo sahihi kudunda mtu kama ng'ombe (japo sio sawa kudunda mwenzako)
Duh..unataka weakness gani. Na kujifagilia wapi? Kwani humu kuna biashara gani? All in all nina hasira pia lakini ninaweza kuji control. Kiukweli sijui zingine..muda mwingi nime focus na kazi na familia basi. Kaka mimi mpaka anagawa nguo zangu kwa ndugu zake..anaacha maronyaronya..nilichoandika ni pinch tu of what i am going through.
 
Hahahaaa

Shida ya "peace of mind" hua ukishapata kwa period of time inakua useless

Unakuja kugundua peace of mind unayosema infact wala sio peace of mind in a sense for long period of time

Peace of Mind is a lie

Kinachotakiwa ni good decisions pragmatically...kama kuna kufanya trade-offs ufanye kufikia optimum...

Hii unilateralism yenu ni problem kwa long term ...maana the same Peace of Mind unayosemea leo will turn back a work against you later on.
mkuu bhana you keep on building the peace of mind every minutes

usitufokeeee/tutishie hahahahahhahaha
 
Dah sio wote bana jamani huu upendo nilionao kweli niache kumspoil bebe mama kweli jamani 😍😍😍!

Kosa mnalofanyaga ni kumsimanga mtu akiwa hana anaweza akauchuna tu ila ikitokea siku kapiga mshindo lazma akulipizie nyie mnafikirigi ni nini! Lazma akunyooshe hapo ndio mnarudigi na sound oh nimemvumilia wakati hana leo kapata ni yeye tu na malaya zake huko!

Uli behave vipi kipindi ana dhiki? What was your behaviours binti masimango 😅😅😅! Umesahau ile mineno yako ya kishamba.
Huyu nae kamsimanga mumewe anavumilia mpaka anahatarisha uhai doh....pesa hubadili watu!
 
Ninaweza kukutajia weakness zangu
1. Very forgiving sababu sipendi kukaa na kinyongo nakosa amani kabisa
2. I love looking good na sipendi kumuomba hela sababu anasemaga hana kwangu siku zote so nikipata i treat myself good
3. Ninaamini sana katika familia kwa jinsi nilivyokuzwa but i got some sense today..kwa vibao vya maneno wengine walivyonipa. Nimeshtuka
Sweetheart.
Hii dunia hamna ambayo hana madhaifu.
Hakudai yeyote ukamilifu.

Huna haja kabiiiisa ya kusema hizi ni weakness zako.
Hizi si weakness mama,
Weakness zipo na We all have them.

-Mi sipendi kufua na sifui, naita mtu afue.
-Nna kisirani, cha kutosha tu.
-Nikiamua kuzichapa tunazipanga.
-Sikubali majibu marahisi kwenye situation ngumu na ntakubishia ukiona.
-Nikiona kitu sielewi ninahoji na nitahoji.
Na mengine tu mengi,

Sasa all of them here huyu ndiye mimi.
Sasa wewe huna sababu ya kuwa a saint kutakiwa kupendwa na kuhurumiwa.
Mi na ununda wangu huu kuna watu hawalali wananiota.
So own yourself.
 
Hizi weakness zimekaa kama za kwenye CV zile 😅😅😅 unajifagilia kwa mlango wa nyuma
Aisee JF🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️😄😄 imebidi nicheke,nina hasira sana sababu ninapitia chuki mara nyingi..lakini naweza kuji control. Sio mtu wa ma vacation,mitoko ni mpaka nimuombe tuende wote.
 
Huyu nae kamsimanga mumewe anavumilia mpaka anahatarisha uhai doh....pesa hubadili watu!
Lazma tu dig tujue waliishije before jamaa hajamake it in life! Was there enough respect au element za kunyanyasana kihisia.
 
Aisee JF🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️😄😄 imebidi nicheke,nina hasira sana sababu ninapitia chuki mara nyingi..lakini naweza kuji control. Sio mtu wa ma vacation,mitoko ni mpaka nimuombe tuende wote.
Ujage humu tena umefanya la maana sana mrembo mie ndio mr.bean wa jf 😅 ntakupa madini mengi tu ya kimaisha hizo changamoto ndogo sana usihofu bana!
 
Aisee JF🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️😄😄 imebidi nicheke,nina hasira sana sababu ninapitia chuki mara nyingi..lakini naweza kuji control. Sio mtu wa ma vacation,mitoko ni mpaka nimuombe tuende wote.
Weeeeeeeeeeeh.

Be a human being.
Acha kuwa passive kwenye mambo ya msingi.
Acha kujiamimisha mambo yote haya bado hujabadilika.

Fuuuuck being a saint.
You aren't one.
Na hutakuwa.
Mungu ameshamaliza kuteua watakatifu.

Amebaki na siku moja tu ya hukumu.
Sasa unafkr usipomuacha Huyu ndo utaenda mbinguni?
Tutakutana tu motoni na dhambi yako ya kinyongo na mi na dhambi yangu ya uzinzi.

Ohoooo!!
 
Sweetheart.
Hii dunia hamna ambayo hana madhaifu.
Hakudai yeyote ukamilifu.

Huna haja kabiiiisa ya kusema hizi ni weakness zako.
Hizi si weakness mama,
Weakness zipo na We all have them.

-Mi sipendi kufua na sifui, naita mtu afue.
-Nna kisirani, cha kutosha tu.
-Nikiamua kuzichapa tunazipanga.
-Sikubali majibu marahisi kwenye situation ngumu na ntakubishia ukiona.
-Nikiona kitu sielewi ninahoji na nitahoji.
Na mengine tu mengi,

Sasa all of them here huyu ndiye mimi.
Sasa wewe huna sababu ya kuwa a saint kutakiwa kupendwa na kuhurumiwa.
Mi na ununda wangu huu kuna watu hawalali wananiota.
So own yourself.
Siutafuti u saint dear..mimi kufua napenda na napenda hekaheka za nyumbani. Yani napenda kujishughulisha hata kazini. Sipendi kuwa idle..nima hasira hio ni weekeness yangu kubwa na kuhisi naonewa..naona kama dunia nzima inajua shida zangu sasa nikionewa huwa na hasira but ndani ya muda mfupi narudi kawaida.
 
Hahahaaa

Nishajua aiseee...Nigga alioa kitu kilichomzidi uwezo kiuzuri....this is really big problem.

Men act weird and out of character....

Kwa uzuri wako aisee,I doubt,maana TZ wanaume tupo sawa in such a way kupata high value man than huyo mwenye confidence ya kuvumilia tako kubwa la mwanamke wake ndani ya jeans linazunguka freely,itakua changamoto aisee!

Jikondeshe kama Wema uone jamaa kama hatarudi fastaaa
Sounds like you’ve been watching too much of Kevin Samuels 🤣🤣
 
Watu mliopenda kiasi cha mtoa mada huwa hamshauriki yaani mpaka likupate ama ulemavu au akupige tukio moja nzuri nina mfano wa best yangu kwa sasa ni chong’o kwa kipigo ilikuwa ukimshauri anaenda kumueleza mumewe unashangaa ghafla una chukiwa.
Hahahahahah
 
Back
Top Bottom