Am I wrong if I process divorce?

Am I wrong if I process divorce?

Ona, at 51 a woman is still craving for a dvck, huyu mbichi kabisa early 30s anakaa miezi minne bila bila.

Sister hakuna ndoa hapo, he's banging other ladies wewe upo tu sijui unasubiri nini, Ila kama hakupigi na hakuna any physical abuse jutulize, sujakushauri utafute mtu mzima mwenzako, Ila huwezi kukaa bila kuchangamsha mwili. Naamini at 51 you don't need regular sex, ukipata once-twice-thrice a month you're good to go[emoji23].
Huo ndio umri baadhi ya ke wanakuwa Wana matamanio ya kufanywa mara kwa mara
 
@Demi, nahisi huyo kapitia changamoto ya kutokujua ladha wala utamu wa kusex tangu usichana wake hadi sasa kiasi cha kuathiriwa kisaikolojia na haoni umuhimu wa kutiana.

Wapo baadhi ya watu wanapitia changamoto ya aina hii aidha kwa kujua au kutokujua. Juzi kati tumekaa maeneo ya Mbauda pale stories zikiendelea iliibuka mada ya mambo ya kuchapana miti.

Kwakuwa tulikuwa mchanganyiko (me & ke) wanawake wawili walionesha dhahiri kbs kushangazwa na mwenzao mmoja aliehadithia namna alivokumbana na kitombo heavy kiasi cha kukojoa yale maji maarufu sana kwa watu wa Kagera.

Mtu mzima miaka 48 anakuambia tangu aanze kut..ombwa hajawahi kukojoa, anasema hivi nyie wanawake wenzangu huwa mkit..ombwa mnakojoaje mbona mimi sielewi inatokeaje tokeaje? Au nina kasoro gani?

Mtu wa namna hii ni ngumu sana kulifurahia na kulithamini tendo la kuchapana miti. Atakuwa anapata hamu / nyegge lakini haoni umuhimu wake. Ni kama mgonjwa wa malaria kali ana njaa lakini chakula hakipandi kwahiyo haoni umuhimu wa kula hakina ladha.

Sasa kwenye maelezo yao katika kila mmoja kudadisi unagundua Kuna sababu nyingi sana zinazopelekea hali hiyo, kubwa sana ikiwa ni inategemea na ubunifu wa wawili hao tangu walipokutana. Mtu anakuambia hawezi kuhimili kut..ombwa taa ikiwa inawaka eti anaona aibu (kwa mumewe)!!!!!!! Hawezi kunyoana mavuzz! na mume wake wa ndoa!! Ukigusia suala la kunyonyana ndio kiruuuuu anakuambia anataka kutapika!, na anamuona huyu anayeyafanya hayo yote ni malaya aliyekubuhu au mtenda dhambi au vinginevyo.

Kuna wakati fulani unakumbana na mtu mzima wa umri kama huo 51 unamt..omba halafu anakuambia natamani ningekutana na wewe tangu ujana kwani sijawahi kut..ombwa nikapata raha kama hivi! na ukimtazama kwa makini anakuwa anamaanisha kile anachokizungumza.

Mahusiano yanahitaji kujifunza na kuvumiliana kwa mambo mengi sana ila kupigana hadi kulazwa mngh! Hapana kwakweli
Umenena vyema muhenga. Hii kitu usipopata mtu sahihi hutagundua utamu wake. Na kama ulivyosema Kuna watu hawapendi kujaribu mautundu mbalimbali ambayo huleta hamasa zaidi na kuvumbua utamu zaidi.
 
Jiulize kwann umeolewa?
Faida gani unayoipata kwenye hio ndoa yako?
Madhara gani unayoyapata kutokana na ndoa yako?
Nin hatima ya wanaokudhunguka(watoto wako) kulingana na maisha ya ndoa yako?
Nini hatima yako kwenye hio ndoa?


Usifungwe na kanisa kwa kuendelea kuteseka huku unaona kabsa haupo sehem salama
 
Hello,
I have always been reading threads without commenting. Kwanini nimeanzisha hii thread?

I am a married lady..in my very early 30s( with over 11 years of marriage experience). I got married when I was in my early 20s. Graduated my masters in my very early 20s as well.

It has never been a peaceful marriage pamoja na jitihada nyingi nilizofanya mimi kuisimamia na kujinyenyekeza kwa kuweka elimu na appearance yangu pembeni. Kifupi tu ya ninayopitia;

1. Being heavily beaten mpaka kulazwa whenever he drinks( mind you, he is a regular drinker)

2. Hakuwahi kuja msiba wa baba yangu mzazi sababu kuu 'alikuwa na washkaji trip'

3. Sijui sh.yake japo anajenga..so i pay for house and family needs mpaka nilipojua ameandikisha hio nyumba jina la ndugu yake

4. Gari pia nilimpa hela akaninunulie yard hapa mjini karudi kaiweka jina lake. Sio kwamba hana hela..no he is financially stable.( sijui ananikomoa nini na sijawahi kutishia kuondoka wala nini-kwa wanaonijua nje wanaweza kuthibitisha hili)

5. Restrictions with my dress code. Anataka nishone vitenge mpaka miguuni. Ana wivu wa ajabu sana na mimi kupendeza au hata kusuka nywele hataki. Hataki nivae suruali,jeans and he found me wearing all those.He wants me rough NOW na anasema nataka kupendeza kwa ajili ya nani? Ananitumia mpaka threads sijui za wanawake 'wenye makalio makubwa hawana akili' nijitathmini na mimi(he picks everything from the internet). Hili halinisumbui sana because i know nina akili ya shule na maisha pia

6. Sex life is bad..very bad( nilishakamata mengi kwenye simu yake). And to be honest it is better this way..kwamba hatushiriki like normal married couples miezi minne sasa na wala hajali yani sawa tu kwake. Binafsi nitavumilia sababu afya yangu matters a lot

7. Sijawahi kumjibu chochote, ninaomba msamaha hata ninapokosewa, ninaandaa bedroom na scents nzuri, napika napeleka mtoto kwa dada yangu for sleep over ili tupate muda fulani ila ndio anarudi alfajiri na asubuhi ananiuliza nani kanifundisha mambo ya kihuni. Vikao vilishakaliwa mno..i know for a fact, he won't change.

8. I have shared my case kwa mtu mmoja tu,a man lately..ambae amekuwa so concerned na sijui tutaenda nae wapi as am beginning to fall in love na yeye(najua inabidi niwe muangalifu kwa wanaokuja kusikitika na mimi kumbe amenitamani tu kutokana na physical appearance and all that)

Sijaacha kuwa msafi..sijaacha kujipenda BUT i am dying deep down. NO LOVE NO SUPPORT hata ile kidogo na sijamuongelesha kwa mara ya kwanza toka anipige miezi 4 iliopita na kulazwa(sababu hapa ilikuwa sikuvaa nguo kama madira ambapo kazini siwezi kuvaa japo navaa kiheshima sana yet smart)na kisha kurudi nyumbani baada ya kusuluhishwa..hajui naishi vipi japo nina kazi yangu ni kama KAKA NA DADA.

Our wedding was a church wedding. NIMECHOKA. Sijui naanzia wapi kutoka but ninahitaji kutoka kwenye hiki kifungo

I believe atakuja kunifukuza kwenye nyumba alioiandika jina la ndugu yake. Maana hapa ni kama mpangaji na hela anayo mpaka ya kunywa ma hennessy kila weekend. I am a God fearing person deep down..sana! Sikuwahi kuwaza kwanini wengine wananunuaga viwanja pembeni..na nilikuwa mtu wa kwanza kupinga wanawake wa aina hii.

Ninasukumwa kuanza 'ku save kidogokidogo' na kupunguza kulisha familia ili nijipange na kibanda changu japo najiuliza mpaka nimefanikiwa kumaliza kujenga sio leo wala kesho i assume(kutokana na nachoki earn) na nitakuwa tortured kwa level ipi mpaka nimalize kujenga. Niko confused hasa

But I need advice..ninachanganyikiwa hata kazini performance inashuka.
Kindly advice
Are you sure you are not the reason for his drinking? Kama siyo why then stay with him, he'll kill you kama yuko stressed na wewe.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaani hapo unafurahi kabisa simu zote zinazimwa madirisha funga yote wahuni wasisogee dirishani kupiga chabo, kiyoyozi kiko hewani na romantic muziki. Fully naked kuanza na muziki na kinywaji. Hapo ni kufanya mapenzi siyo kufuvk lol!!! Hahahahaha mkija stuka saa moja asubuhi masaa 10 yamekatika kama mchezo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
@BAK kama BAK katika ubora wako [emoji38][emoji38]
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Hello,
I have always been reading threads without commenting. Kwanini nimeanzisha hii thread?

I am a married lady..in my very early 30s( with over 11 years of marriage experience). I got married when I was in my early 20s. Graduated my masters in my very early 20s as well.

It has never been a peaceful marriage pamoja na jitihada nyingi nilizofanya mimi kuisimamia na kujinyenyekeza kwa kuweka elimu na appearance yangu pembeni. Kifupi tu ya ninayopitia;

1. Being heavily beaten mpaka kulazwa whenever he drinks( mind you, he is a regular drinker)

2. Hakuwahi kuja msiba wa baba yangu mzazi sababu kuu 'alikuwa na washkaji trip'

3. Sijui sh.yake japo anajenga..so i pay for house and family needs mpaka nilipojua ameandikisha hio nyumba jina la ndugu yake

4. Gari pia nilimpa hela akaninunulie yard hapa mjini karudi kaiweka jina lake. Sio kwamba hana hela..no he is financially stable.( sijui ananikomoa nini na sijawahi kutishia kuondoka wala nini-kwa wanaonijua nje wanaweza kuthibitisha hili)

5. Restrictions with my dress code. Anataka nishone vitenge mpaka miguuni. Ana wivu wa ajabu sana na mimi kupendeza au hata kusuka nywele hataki. Hataki nivae suruali,jeans and he found me wearing all those.He wants me rough NOW na anasema nataka kupendeza kwa ajili ya nani? Ananitumia mpaka threads sijui za wanawake 'wenye makalio makubwa hawana akili' nijitathmini na mimi(he picks everything from the internet). Hili halinisumbui sana because i know nina akili ya shule na maisha pia

6. Sex life is bad..very bad( nilishakamata mengi kwenye simu yake). And to be honest it is better this way..kwamba hatushiriki like normal married couples miezi minne sasa na wala hajali yani sawa tu kwake. Binafsi nitavumilia sababu afya yangu matters a lot

7. Sijawahi kumjibu chochote, ninaomba msamaha hata ninapokosewa, ninaandaa bedroom na scents nzuri, napika napeleka mtoto kwa dada yangu for sleep over ili tupate muda fulani ila ndio anarudi alfajiri na asubuhi ananiuliza nani kanifundisha mambo ya kihuni. Vikao vilishakaliwa mno..i know for a fact, he won't change.

8. I have shared my case kwa mtu mmoja tu,a man lately..ambae amekuwa so concerned na sijui tutaenda nae wapi as am beginning to fall in love na yeye(najua inabidi niwe muangalifu kwa wanaokuja kusikitika na mimi kumbe amenitamani tu kutokana na physical appearance and all that)

Sijaacha kuwa msafi..sijaacha kujipenda BUT i am dying deep down. NO LOVE NO SUPPORT hata ile kidogo na sijamuongelesha kwa mara ya kwanza toka anipige miezi 4 iliopita na kulazwa(sababu hapa ilikuwa sikuvaa nguo kama madira ambapo kazini siwezi kuvaa japo navaa kiheshima sana yet smart)na kisha kurudi nyumbani baada ya kusuluhishwa..hajui naishi vipi japo nina kazi yangu ni kama KAKA NA DADA.

Our wedding was a church wedding. NIMECHOKA. Sijui naanzia wapi kutoka but ninahitaji kutoka kwenye hiki kifungo

I believe atakuja kunifukuza kwenye nyumba alioiandika jina la ndugu yake. Maana hapa ni kama mpangaji na hela anayo mpaka ya kunywa ma hennessy kila weekend. I am a God fearing person deep down..sana! Sikuwahi kuwaza kwanini wengine wananunuaga viwanja pembeni..na nilikuwa mtu wa kwanza kupinga wanawake wa aina hii.

Ninasukumwa kuanza 'ku save kidogokidogo' na kupunguza kulisha familia ili nijipange na kibanda changu japo najiuliza mpaka nimefanikiwa kumaliza kujenga sio leo wala kesho i assume(kutokana na nachoki earn) na nitakuwa tortured kwa level ipi mpaka nimalize kujenga. Niko confused hasa

But I need advice..ninachanganyikiwa hata kazini performance inashuka.
Kindly advice
Pole Sana ndugu mleta mada.
Mimi sio muumini wa kuvunja mahusiano au ndoa kwa namna yoyote ile, lakini kwa hili la kwako tafuta tu namna ya kuondoka dada yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenena vyema muhenga. Hii kitu usipopata mtu sahihi hutagundua utamu wake. Na kama ulivyosema Kuna watu hawapendi kujaribu mautundu mbalimbali ambayo huleta hamasa zaidi na kuvumbua utamu zaidi.
Kut...omba / Kut.ombwa (kuto.mbana) ni Sanaa "art" kama sanaa nyinginezo na inahitaji kujituma.

Kuna show huwa nimezibatiza jina naziita "show za msimu" hizi sio za kila siku, zina wakati wake maalumu inaweza kuwa kwa wiki au kwa mwezi mara moja lakini mtifuano wake unakuwa ni wa namna yake ya pekee kiasi ambacho lazima mkimaliza baada ya hapo kila ukikumbuka matukio yalivyokuwa yakiendelea lazima ucheke au utabasamu [emoji1]

Ushaona-ga ile mnapigana miti weeeee mmechoka kila mmoja lakini bado unatamani ungegain nguvu muendelee kutiana!? kwasababu ya ile Raha, burudani, starehe, huba, penzi lililokolea, kila mmoja kaguswa kagusika. Utasikia "mmmh! mwanaume unajua kut.omba weeeeeew!
 
Kut...omba / Kut.ombwa (kuto.mbana) ni Sanaa "art" kama sanaa nyinginezo na inahitaji kujituma.

Kuna show huwa nimezibatiza jina naziita "show za msimu" hizi sio za kila siku, zina wakati wake maalumu inaweza kuwa kwa wiki au kwa mwezi mara moja lakini mtifuano wake unakuwa ni wa namna yake ya pekee kiasi ambacho lazima mkimaliza baada ya hapo kila ukikumbuka matukio yalivyokuwa yakiendelea lazima ucheke au utabasamu [emoji1]

Ushaona-ga ile mnapigana miti weeeee mmechoka kila mmoja lakini bado unatamani ungegain nguvu muendelee kutiana!? kwasababu ya ile Raha, burudani, starehe, huba, penzi lililokolea, kila mmoja kaguswa kagusika. Utasikia "mmmh! mwanaume unajua kut.omba weeeeeew!
Hebu usinisahaulishe mada, nilidhani lile jukwaa limerudi 😆😆😆
 
Huwa hatari wanakuwa so manipulative aisee wanaku torture psychologically, hata uwe mwema vipi ni mwendo wa kukutesa kihisia to me I consider them evil Bora kila mtu ashike njia zake
hakika, hatuna sababu ya kujitesa kuna mkuu huku aliniambia tutafute hela zetu tutakuwa huru,,,tunaogopa sana kwa sababu ya security ya maisha yetu tutaishije,,kwani kabla yao tulikuwa hatuishi? cha msingi tupendane bhana
 
Natamani nikupige makofi umempa pesa akanunue gari kaandika jina lake na umekubali, amejenga nyumba kaandika nini?kucheat kama zote, ulibikiriwa?unafedheha yoyote? Huyo ni inferior wa elimu na kipato chako, hajiamini kwa hio anajihami na dhamira yake achume, na hakupendi ila anakukubali yaani huyo ni nnzi na nyuki. Sijui nikupore ndio ujue tunaopenda kwa dhati tukoje yaani umeenda kwa fisi au uliolewa kishamba sana
Nazidi kushangaa aina ya maisha baadhi ya wanawake waliyoyachagua.... Ambapo wanateseka Kila inapoiwa Leo. Hivi tuliumbwa kuteseka kiasi hiki hata pale ambapo unaweza kuamua vinginevyo??
 
Utapata hela halafu utakuja kugundua wala sio chanzo cha uhuru unafikiria...
i know but labda sijaliweka vzr, namaanisha hii hali ya mateso yanayozidi na bado some of women wanavumilia mara nyingi inakuwa ni insecurity,,, that is the fact ila kiukweli pesa sio chanzo cha uhuru bali aman ndo kila kitu,,, I know what I am talking about
 
Back
Top Bottom