Am Looking For A Man To Have A Child With

Hapa ajenda ndio ilipojificha. Kumbe unatafuta mzungu!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Nifuate inbox nina sifa hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani kama mtoto anapatikana kwa mashariti hayo endelea kuwa hivyo hivyo bila mtoto wa dada wenye watoto wanajua umuhimu wa baba kwenye malezi na matunzo ya mimba na matunzo ya mtoto kwa ujumla endelea kujifariji jf hakuna mwanaume mwenye akili timamu akubali kuzaa na mwanamke mwenye majivuno hayo eti mtoto nitalea mwenyewe
 
Sipati picha inbox yako ilivyojaa muda huu.
Miye naweka mambo yangu hadharani wala sitaki mambo ya inbox nitakupa bure kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…