Hapa ajenda ndio ilipojificha. Kumbe unatafuta mzungu!Qualifications:
Tall
Handsome (smart man)
Asiwe mwebamba sana wala mnene sana
Age from 28 to 45
Asiwe na kitambi[emoji20]
Anaweza kuwa mume wa mtu au la
Sihitaji ndoa (stress tupu)
Mtoto akizaliwa ana uhuru wa kuhama kumtunza au kumpotezea (sishindwi kulea mwenyewe)
Mzungu au muhindi atafikiriwa zaidi
For more pm
Sent using Jamii Forums mobile app
alianzisha upi???Bila shaka wewe ndio yule mwanaume aliyeanzisha ule Uzi mwengine.
Nifuate inbox nina sifa hizoQualifications:
Tall
Handsome (smart man)
Asiwe mwebamba sana wala mnene sana
Age from 28 to 45
Asiwe na kitambi[emoji20]
Anaweza kuwa mume wa mtu au la
Sihitaji ndoa (stress tupu)
Mtoto akizaliwa ana uhuru wa kuhama kumtunza au kumpotezea (sishindwi kulea mwenyewe)
Mzungu au muhindi atafikiriwa zaidi
For more pm
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna Uzi upo humu kwamba anatafuta mwanamke wa kuzaa nae, hataki ndoa, hataki stress, hebu chenjua chenjua huku kwenye majukwaa utakutana nao huo Uzi Mkuu.alianzisha upi???
I BLNG 2 JESUS CHRST
Mie nshamwendea pm kujaribu bahati yanguSipati picha inbox yako ilivyojaa muda huu.
Miye naweka mambo yangu hadharani wala sitaki mambo ya inbox nitakupa bure kabisa