[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe kuna uhusiano Kati ya kusoma na kutafuta maisha eeeh
"Blaza" upo?Hivi da Zawadi unataka kumuiga ndugu yako yule ambaye naye aliolewaga na mzungu au? Kisa unaona katoto kake kazuri? Au kwa sababu anacheka unadhani ana furaha sana. Kweli usilolojua ni sawa na usiku wa giza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nini lakini mbona umeniandama kama kumbikumbi [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe kuna uhusiano Kati ya kusoma na kutafuta maisha eeeh
I BLNG 2 JESUS CHRST
samahani nlikuwa cjui mkuu kama nakuandamaNini lakini mbona umeniandama kama kumbikumbi [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Sent using Jamii Forums mobile app
Now you know [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]samahani nlikuwa cjui mkuu kama nakuandama
I BLNG 2 JESUS CHRST
Yeah huko usijali kabisaUko smart mpk kichwani sio? Haya leta na ww vigezo vyako tufanye colabo
Hivi Madame B, yuko ? kitambo sana sijamsikia
Tupo ndio.sasa kama unahitaji mzungu au mhindi huku jf ndo wapo...?????
I BLNG 2 JESUS CHRST
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu ungekua karibu ningekupa beer zako 5....Ukapimwe mkojo aisee
Wewe mwenyewe una sifa gani na uzuri gani? Siyo unaandika tu sifa za mtu umtakaye wakati zako hazijulikani.Qualifications:
Tall
Handsome (smart man)
Asiwe mwebamba sana wala mnene sana
Age from 28 to 45
Asiwe na kitambi[emoji20]
Anaweza kuwa mume wa mtu au la
Sihitaji ndoa (stress tupu)
Mtoto akizaliwa ana uhuru wa kuhama kumtunza au kumpotezea (sishindwi kulea mwenyewe)
Mzungu au muhindi atafikiriwa zaidi
For more pm
Sent using Jamii Forums mobile app