Am Looking For A Man To Have A Child With

Am Looking For A Man To Have A Child With

Hivi da Zawadi unataka kumuiga ndugu yako yule ambaye naye aliolewaga na mzungu au? Kisa unaona katoto kake kazuri? Au kwa sababu anacheka unadhani ana furaha sana. Kweli usilolojua ni sawa na usiku wa giza.

Sent using Jamii Forums mobile app
"Blaza" upo?

Nimejikuta nacheka baada kusoma bango la da zawadi ....

Hawa dada zetu wanahitaji "kanseling" ujuwe.....
 
Usikondo hapa umepata, nina rafiki yangu mzungu anapenda black people, ila sasa uzuri lazima uwe nao.
Hapendi san watu wenye mshembendwe mkubwa, kama unao, basi bahati yako mbaya.
Nithibitishie uzuri wako ni ku connect.
 
Kichwa cha habari kinaonesha unahitaji mzungu au kama ni mswazi awe na rasta. Nenda mbuga za wanyama utawakuta.
 
Qualifications:
Tall
Handsome (smart man)
Asiwe mwebamba sana wala mnene sana
Age from 28 to 45
Asiwe na kitambi[emoji20]
Anaweza kuwa mume wa mtu au la
Sihitaji ndoa (stress tupu)
Mtoto akizaliwa ana uhuru wa kuhama kumtunza au kumpotezea (sishindwi kulea mwenyewe)
Mzungu au muhindi atafikiriwa zaidi
For more pm

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mwenyewe una sifa gani na uzuri gani? Siyo unaandika tu sifa za mtu umtakaye wakati zako hazijulikani.
 
Usijari umempata.. mimi ni miksa muhindi na mzungu[emoji4] ila si unajua sisi wa udongo wa maka ile kitu tunapenda...
 
Back
Top Bottom