Am Looking For A Man To Have A Child With

Am Looking For A Man To Have A Child With

Tafiti uchwara. Akitoka hapo anaandika kapepa uchwara kuonyesha kuwa wa Tanzania hawataki kuoa wala kuolewa ila wanataka mtoto.
 
sasa kitambi changu kinahusiana vipi na mtoto unaemtaka hebu legeza masharti
 
Hivi da Zawadi unataka kumuiga ndugu yako yule ambaye naye aliolewaga na mzungu au? Kisa unaona katoto kake kazuri? Au kwa sababu anacheka unadhani ana furaha sana. Kweli usilolojua ni sawa na usiku wa giza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa kitambi kinashida gani ndugu au unatafuta maneno
 
Back
Top Bottom