Am looking for a white girl/mzungu for relationship/marriage

Am looking for a white girl/mzungu for relationship/marriage

Status
Not open for further replies.
Hapo nimetumia Google translator. Imagine bro. 😁😁

Mimi kingereza niliacha kuandika siku ya mwisho nimemaliza chuo.
Nahisi nimesahau.

Ingefaa uanzishwe Uzi wa kuchat Kwa kingereza ili kuwanoa wale wenye vingereza vya kubembelezea mtoto alale
 
Ingekuwa unahitaji mchina....

Ningekuelekeza mahala pale temeke....ungempata.

Ingekuwa unahitaji mwarabu...

Ningekuelekeza mahala pale kayenze tabora, nywele hadi mgongoni...mixer machacha miguuni!.... Lakini ni wazuri na warembo haswa! Wazuri asilia.....maisha tu yamewapiga..

Ila kwa swala lako...mzungu....hao watu wanajithamini sana na kujitambua....

Ni ngumu sana kukuta damu yao ikizagaa ovyo kama wachina na Waarabu.

Na focus kwa mzungu chief
 
Ingekuwa unahitaji mchina....

Ningekuelekeza mahala pale temeke....ungempata.

Ingekuwa unahitaji mwarabu...

Ningekuelekeza mahala pale kayenze tabora, nywele hadi mgongoni...mixer machacha miguuni!.... Lakini ni wazuri na warembo haswa! Wazuri asilia.....maisha tu yamewapiga..

Ila kwa swala lako...mzungu....hao watu wanajithamini sana na kujitambua....

Ni ngumu sana kukuta damu yao ikizagaa ovyo kama wachina na Waarabu.
Jitu Bandia tunafanyaje hapo kwa mchina?
 
Unaeliku gani Mkuu?
Kama umefika kuanzia kidato cha nne, nakushauri ujifunze Kwanza kuandika ili usijetutia aibu Kwa Mzungu Huko.

Kila la kheri

Waafrica ndio wana hizo za aibu ila wenyewe watu weupe wapo na uelewa mkubwa sanaa kuhusu kujifunza hata ukitokea umekosea kitu hawawezi wakakuchukulia kama waafrika wanavyowachukulia watu wakikosea

Seting zetu waafrica za kibinafs sanaa
 
Ingekuwa unahitaji mchina....

Ningekuelekeza mahala pale temeke....ungempata.

Ingekuwa unahitaji mwarabu...

Ningekuelekeza mahala pale kayenze tabora, nywele hadi mgongoni...mixer machacha miguuni!.... Lakini ni wazuri na warembo haswa! Wazuri asilia.....maisha tu yamewapiga..

Ila kwa swala lako...mzungu....hao watu wanajithamini sana na kujitambua....

Ni ngumu sana kukuta damu yao ikizagaa ovyo kama wachina na Waarabu.
Nielekeze mimi mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom