Am looking for a white girl/mzungu for relationship/marriage

Am looking for a white girl/mzungu for relationship/marriage

Status
Not open for further replies.
Waafrica ndio wana hizo za aibu ila wenyewe watu weupe wapo na uelewa mkubwa sanaa kuhusu kujifunza hata ukitokea umekosea kitu hawawezi wakakuchukulia kama waafrika wanavyowachukulia watu wakikosea

Seting zetu waafrica za kibinafs sanaa

Ni kweli.
Lakini ushauri wangu sio kwaajili ya waafrika au wazungu. Bali ni kwaajili yako. Ili uwe MTU Bora. Hata Mzungu utakayempata na watoto utakaowapata wajivunie Baba Yao.
Imagine mtoto akuone hujui kuandika unafikiri atajisikiaje?

Lakini akikuona upo vizuri Kwa mambo mengi na madogo Dogo atasema, Huyu ndiye Mzee"

Alafu hata hao wazungu nao kwenye Hilo wapo hivyohivyo tuu. Hawawezi jivunia mtu Mjinga.

Kama walituita manyani, na bara la Giza unategemea nini wakiona udhaifu mdogo ambao unaweza kuuondoa pasip hata ushauri wake
 
Ni kweli.
Lakini ushauri wangu sio kwaajili ya waafrika au wazungu. Bali ni kwaajili yako. Ili uwe MTU Bora. Hata Mzungu utakayempata na watoto utakaowapata wajivunie Baba Yao.
Imagine mtoto akuone hujui kuandika unafikiri atajisikiaje?

Lakini akikuona upo vizuri Kwa mambo mengi na madogo Dogo atasema, Huyu ndiye Mzee"

Alafu hata hao wazungu nao kwenye Hilo wapo hivyohivyo tuu. Hawawezi jivunia mtu Mjinga.

Kama walituita manyani, na bara la Giza unategemea nini wakiona udhaifu mdogo ambao unaweza kuuondoa pasip hata ushauri wake

Kuhusu hilo usijar
 
Kama hautanii naomba ni dm sasa hivi, maana unaonekana upo seriously kwenye hili jambo maana tunaonaga baadhi ya watu wanaanzisha uzi ili wachangamshe jf

Njoo dm nikipe 1,2,3
 
Wazungu ni wetu, wametuletea shanga, za kuvaa shingoni......[emoji446][emoji449][emoji448][emoji450][emoji447][emoji441][emoji443][emoji445]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hautanii naomba ni dm sasa hivi, maana unaonekana upo seriously kwenye hili jambo maana tunaonaga baadhi ya watu wanaanzisha uzi ili wachangamshe jf

Njoo dm nikipe 1,2,3

Natanguliza shukrani

Nakuja mkuu dm, Na kiukweli nipo seriously, asante Chief
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom