Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Una Rasta? Kama unazo jongea Arusha republic kakimbizane na wataliii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waafrica ndio wana hizo za aibu ila wenyewe watu weupe wapo na uelewa mkubwa sanaa kuhusu kujifunza hata ukitokea umekosea kitu hawawezi wakakuchukulia kama waafrika wanavyowachukulia watu wakikosea
Seting zetu waafrica za kibinafs sanaa
Ni kweli.
Lakini ushauri wangu sio kwaajili ya waafrika au wazungu. Bali ni kwaajili yako. Ili uwe MTU Bora. Hata Mzungu utakayempata na watoto utakaowapata wajivunie Baba Yao.
Imagine mtoto akuone hujui kuandika unafikiri atajisikiaje?
Lakini akikuona upo vizuri Kwa mambo mengi na madogo Dogo atasema, Huyu ndiye Mzee"
Alafu hata hao wazungu nao kwenye Hilo wapo hivyohivyo tuu. Hawawezi jivunia mtu Mjinga.
Kama walituita manyani, na bara la Giza unategemea nini wakiona udhaifu mdogo ambao unaweza kuuondoa pasip hata ushauri wake
Wapo wengi tu, wala si wakutafuta, labda una macho lakini hayaoni, una masikio lakini hayasikii. Wanajitangaza humu kila siku.Hao hao tu
mpe yule mzungu wetu wa ujeruman anaitwa DepalHela unazo lakini za kuhudumia pisi ya kizungu mkuu?
Sio nakupa connection af unaenda kumchakaza mtoto wa watu, sitafurahishwa
🤣😂😂😂
Alafu kuna Watu wanawalaumu Wanawake kuwa single mother. Kwa Hali Hii dada zangu mnahaki zote.
Anza harakaInabidi nianze sasa mkuu
Pesa kwanza, mzungu atakula upendo?Kuhusu pesa taarifa zote wanazo bank kuu
Na mzungu kwanza anataka upendo kwanza na Mimi ndio nafocus hapo kwenye pesa atachagua tukaishi nchi gani?
tutakuwa tunaenda wote mzungu wetu hana baya 😅Af kweli, ili wakienda kuishi ulaya huko niwe naenda vacay kuwaona
Kama hautanii naomba ni dm sasa hivi, maana unaonekana upo seriously kwenye hili jambo maana tunaonaga baadhi ya watu wanaanzisha uzi ili wachangamshe jf
Njoo dm nikipe 1,2,3