Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari gani tenaAh ah ah ah hatari hii ah ah ah
Mwafrika kutoka bara la afrika ni ni ngumu sana kuishi na mzunguAwe na 19-25 age
Kasoma ajasoma, educated or not it’s ok
Wa nchi yeyote ilee hata aliyekulia tanzania/any country
Kuhusu muonekano sijali urefu sijui ufupi, shape i don’t care
Kuhusu uchumi wangu tutaongea/ about my economic we will discuss
Am from MTANZANIA
height 6.67 urefu 6.67 , color brown- mengine tukikutana tutaonana vizur
Vingine tutaongea- others things will discuss
Dini pia tutajadiliana /Religion will discuss
Magonjwa tutapima/ health we gonna check
Lugha sio mjuzi sanaa so naendelea kujifunza misamiati mingi mingi ili niwe vizur zaid na hata yeye kama aongei kingereza anaongea lugha za kwao mf kibrazil,kifaransa nitajifunza pia twende sawa
Nimeandika kiswahili kwa kuwa najua wazungu humu wa kupapasa/wachache so kama mtu ana best yake mzungu na mwenye uhitaji naomba connection tafadhali hata kama hayupo Tanzania nita try my best kukutana naye na kukubaliana tunaanzia wapi!!
Nikipata nitawaletea mrejesho/ nitahakikisha nampata
Nimekuja kwenu kwa unyenyekevu wote, asanteni
Yaani nakupa mdhungu, nawe unanipa hela on ze same timeSo malipo baada ya kazi au?
We ndio unifikirie sasa boss kuwa utanilinda vipi kwa kukuletea binti wa kidhungu mali safi😋Come on
Niandae pesa ngapi?
Hapo club nafikiri kuna majibu yangu ila tatzo sipo tanzania Kwa sasa
Weetatzo sipo tanzania Kwa sasa
Najikuta nacheka mimi hukuWe ndio unifikirie sasa boss kuwa utanilinda vipi kwa kukuletea binti wa kidhungu mali safi😋
Aweke dau me nimletee pisi kaliNajikuta nacheka mimi huku
tutapokelewa huko jijini BerlinNdio tutaongozana
Shem Aizn si utatupokea eeh
M1 itapendezaSasa mm si ntakwambia hata m1 ya kitanzania wewe ndio unabidi useme au laki 5 inakutosha?
Wee I can't wait jamani💃💃tutapokelewa huko jijini Berlin
mkuu nielekeze chimbo la wachinaIngekuwa unahitaji mchina....
Ningekuelekeza mahala pale temeke....ungempata.
Ingekuwa unahitaji mwarabu...
Ningekuelekeza mahala pale kayenze tabora, nywele hadi mgongoni...mixer machacha miguuni!.... Lakini ni wazuri na warembo haswa! Wazuri asilia.....maisha tu yamewapiga..
Ila kwa swala lako...mzungu....hao watu wanajithamini sana na kujitambua....
Ni ngumu sana kukuta damu yao ikizagaa ovyo kama wachina na Waarabu.