Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Hapo nimetumia Google translator. Imagine bro. ππ
Ingekuwa unahitaji mchina....
Ningekuelekeza mahala pale temeke....ungempata.
Ingekuwa unahitaji mwarabu...
Ningekuelekeza mahala pale kayenze tabora, nywele hadi mgongoni...mixer machacha miguuni!.... Lakini ni wazuri na warembo haswa! Wazuri asilia.....maisha tu yamewapiga..
Ila kwa swala lako...mzungu....hao watu wanajithamini sana na kujitambua....
Ni ngumu sana kukuta damu yao ikizagaa ovyo kama wachina na Waarabu.
Pambana utawapataNimekuwa single kipindi kirefu sanaa na kila nikiangalia mapenzi ya kitanzania/kiafrica sioni kitu
Sijasema Huna Pesa.
Wanawake wote Duniani wanafanana ingawaje hawalingani. Wanatofautiana desimali tuu.
mzungu wa bongo Mzungu Pori mzunguafrika Mzungumswahili MzunguMweusiTii Mzungu_bahili
Msaidieni mleta mada,huenda nyinyi mkawa na connection.
Nimeishi nchi tofauti nimeona kuna tofauti kubwa sanaa kati ya mapenzi ya wazungu na kwetu africa
Kwenye hiloo sio wa kuadithiwa nawajua vizur sanaa
Hela unazo lakini za kuhudumia pisi ya kizungu mkuu?
Jitu Bandia tunafanyaje hapo kwa mchina?Ingekuwa unahitaji mchina....
Ningekuelekeza mahala pale temeke....ungempata.
Ingekuwa unahitaji mwarabu...
Ningekuelekeza mahala pale kayenze tabora, nywele hadi mgongoni...mixer machacha miguuni!.... Lakini ni wazuri na warembo haswa! Wazuri asilia.....maisha tu yamewapiga..
Ila kwa swala lako...mzungu....hao watu wanajithamini sana na kujitambua....
Ni ngumu sana kukuta damu yao ikizagaa ovyo kama wachina na Waarabu.
Unaeliku gani Mkuu?
Kama umefika kuanzia kidato cha nne, nakushauri ujifunze Kwanza kuandika ili usijetutia aibu Kwa Mzungu Huko.
Kila la kheri
Hela unazo lakini za kuhudumia pisi ya kizungu mkuu?
Sio nakupa connection af unaenda kumchakaza mtoto wa watu, sitafurahishwa
Nielekeze mimi mkuuIngekuwa unahitaji mchina....
Ningekuelekeza mahala pale temeke....ungempata.
Ingekuwa unahitaji mwarabu...
Ningekuelekeza mahala pale kayenze tabora, nywele hadi mgongoni...mixer machacha miguuni!.... Lakini ni wazuri na warembo haswa! Wazuri asilia.....maisha tu yamewapiga..
Ila kwa swala lako...mzungu....hao watu wanajithamini sana na kujitambua....
Ni ngumu sana kukuta damu yao ikizagaa ovyo kama wachina na Waarabu.