Am looking Real man to be my fiancee...later awe Mume wangu. But am She-Male (serious)

Am looking Real man to be my fiancee...later awe Mume wangu. But am She-Male (serious)

Be careful kuna Wengine hawana nia Nzuri. Wao wanataka tu kuja kushuhudia U-shemale wako. Akakae kijiweni asimulie Kwamba ameshawahi kumwona Shemale.... Refer AGNES MASOGANGE alichofanyiwa. So be Careful
 
Yeah nakutakia kila heri, ila chunga sana kuna watakao kuja wana lengo la kutaka kuchukua picha zako 7bu wabongo wengi wanatafuta 'porn movies' za 'shemale'
 
Sikupati dajane naomba tuwasiliane kwa email hii mnyella@ovi.com nipo serious
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Be careful kuna Wengine hawana nia Nzuri. Wao wanataka tu kuja kushuhudia U-shemale wako. Akakae kijiweni asimulie Kwamba ameshawahi kumwona Shemale.... Refer AGNES MASOGANGE alichofanyiwa. So be Careful

Agnes Masogange alifanyiwa vipi ndugu?
 
Habari zenu.
Natafuta mwanaume ambae endapo atakubaliana na hali yangu kimaumbile aweze kuwa Mchumba wangu na baadae awe Mume wangu.
Mimi ni mwanamke kamili isipokuwa ni She-Male yaani nina kiungo cha kiume pia.
Jamani sitaki utani,kejeli,kashfa matusi wala dharau.
Sichagui dini,kabila,rangi,umbo wala kipato(japo wenye kujiajiri/kuajiriwa watapewa kipaumbele),
Awe na umri kuanzia 29-32,
umri wangu ni 28,Mkristo na ninaishi Magomeni,DSM.
Alie tayari tuwasiliane zaidi.
Mungu awabariki.
Nipo tayari tutafutane mengi zaidi tutaongea tukiwa wawili phone:0655200004
 
Kiungo chako cha kiume kinasimama? Naogopa tukiudhiana usije nidropishia matone ya mkojo kwenye bia yangu, kisha nikalie KIGOGO

halafu mbaba unapeleka kesi ukweni...eti ooooh simtaki binti yenu AMENI.B.A.N.D.U.A..
 
sasa Dajeni umeshampata mwenza feedeback muhimu!!! wengine hapa tunapiga jalamba!
 
Nisikilize kwa Makini DAJANE... Kwa siye ambao tumesoma Female reproductin system na Genetics.... Na wewe tayari umeshasema Inayodominate ni ya Kiume. Kwa hakika hauna Uwezo wa Kuzaa au Kutengeneza Yai yaani Ovum na unauwezo wa kutengeneza Sperms mana umesema unaKORODANI Kabisa.. Ni bora ya kike ingekuwa na Nguvu na huna korodani tungesema ni Clitoris enlargement ambapo solution ipo....Kwahiyo hata kama unatafuta Mwanaume hautakuwa na furaha yoyote ile.

Ni bora ukabaki hivyo hivyo mana kwa Afrika ni Vigumu sana tena sana kuwa na Mme ambaye atavumilia hayo......

Kama amesema anazo mbili.Na ya kiume iko active,Je akiingiliwa hiyo ya kike atapata hisia? Je huwa wanableed pia?
 
Mbona kimya au Umeshapata mchumba?

Sent from my HTC Sensation Z710e using Tapatalk 2
 
Back
Top Bottom