Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Siwezi kusahau wanafamilia mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Salama pia, bila shaka hufahamu unaongea na nani....!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi kusahau wanafamilia mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Salama pia, bila shaka hufahamu unaongea na nani....!!
Serikali yenyewe haiajiri..... atakuwa shunie??Shunie naruhusiwa kuomba ajira moyoni mwako?
Nahitaji uwe mwenyeji wangu
Mbona unaishia nje???Mm mwenyewe mgeni ata sielewi ila nimejikuta tu nimecheka
Unajua mwenyeweMaeneo gani vile??
Kakubalishunie unaitwa huku
[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]...... Sawa sawa, wanafamilia wanakukosa sanaaa, ni matumaini yangu kuwa siku moja utarejeaSiwezi kusahau wanafamilia mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huyo dogo kapatwa nnHata mm nataka kukufahamuView attachment 398899
Hilo halina shaka mkuu,tuko pamoja.[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]...... Sawa sawa, wanafamilia wanakukosa sanaaa, ni matumaini yangu kuwa siku moja utarejea
Hebu sogea karibu nioneUnajua mwenyewe
Huyo Youngblood tulishawahi kuwania demu mmoja hivyo ananichukia vibaya sanaa[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]...... Sawa sawa, wanafamilia wanakukosa sanaaa, ni matumaini yangu kuwa siku moja utarejea
Mtatumbukia shimoni, njooni niwaelekeze kila mtu njia ya kumpeleka anakotaka kwendaSiku zote wafu wanazikana, hvyo hata sisi inafaa pia kushikana mikono japo ni wageni woteView attachment 398900
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Acha kuniharibia..
Wewe tutakutana Kapuku Forum.
Huku niachie nijitwalie mke
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Karibu sanaHilo halina shaka mkuu,tuko pamoja.