Am new member(utambulisho)

Am new member(utambulisho)

Karibu sana. Ila una sura chafu Jonas kama unavyojibainisha kwenye picha. Mpua wako unatisha Jonas. Karibu hata hivyo.
 
Nataka la wakubwa tu nisije nikaingizwa kwenye dini ambayo sio yangu ngoja nimpm
Ok,ukifanikiwa uje Pm tufahamiane vzuri bibie..
1473707757025.jpg
 
ushafikisha myaka 18? Maana watoto hawapewi ruhusa
Weee, embu nitokeee hapa... usije ukanipeperushia ndege wangu.
Maana kule Kf nmekosa mchuchu hvyo nmeona nije huku kutafuta kwa njia nyingine alaf ww unataka kunipeperushia ndege wangu
[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]
 
Karibu sana. Ila una sura chafu Jonas kama unavyojibainisha kwenye picha. Mpua wako unatisha Jonas. Karibu hata hivyo.
Pua yangu ikiwa kubwa inakuhusu nini?
Mbona ww una ma.ta.ko makubwa lakini mm sijakudiss?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Jokes

But thanks broh
 
Back
Top Bottom