chuma cha reli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 2,764
- 2,559
Mmmmh!! Kwahiyo ni kazi ya mwanamke pekee kumsoma na kumuelewa mwanaume na kusucrifise all, ila mwanaume aachwe tu afanye kila analojisikia. Daaaah!!
Yeah...n that is exactly what suppose to be..
Love is Art of Acting my lady, it has rules and GOD planned this long time ago.
Soma kitabu kimoja kinaitwa
Men are from Mars, Women are from Venus
You will understand each and everything
its like the way you would never be with a non-submissive woman! haha
Aaaaaah nitafsirie puliiz🙄🙄
Uchoyooo tuuuu. Hahahah nimekubamba vizuriHahahaaaaa!! Hata nishasahau mwenzio
Uchoyooo tuuuu. Hahahah nimekubamba vizuri
Mie macho yamevimba kabisa teh. Tudumishe Kiswahili tu kwa kweliMwenzio hapa nina maumivu ya kichwa sina tena hamu na kingreza, ukinirudisha huko utukuwa hunitakii mema
miss chagga alinidanganyaga eti ukilewa kinashuka chenyewe tu, loooh nilijaribu nikaishia kutukana tu, sina hamu mie.Mie macho yamevimba kabisa teh. Tudumishe Kiswahili tu kwa kweli
Hahaha siku nyingine Kula mlenda, utashusha ngeli hiyo Ras Simba akasome upyamiss chagga alinidanganyaga eti ukilewa kinashuka chenyewe tu, loooh nilijaribu nikaishia kutukana tu, sina hamu mie.
Hahaha siku nyingine Kula mlenda, utashusha ngeli hiyo Ras Simba akasome upya
Usijifanye independent sana, mwanaume anajisikia vizuri anapogharimia hata kidogo na wewe ukiappreciate mchango wake. Pia dont be too nice utamboa maana hapati changamoto. Muoneshe ni wajibu wake kukunulia say lotion hata kama una million mia bank. Nawe mnunulie kitu kingine kama deodorants au boxer in return. Usijifanye kuwa humuhitaji financially au materially as you put it.
Teh umenikumbusha mbali. Kuna siku nilikuwa na rafiki angu, tukaenda mahali. Kufika tukakuta wamepika mlenda, mwenzangu hajawahi kuula before. ilikuwa shughuli kwenye kuuzungusha pale, tulichekaKhaaaaa umenikumbusha mlenda jamani, nimeumisss + samaki na ugali, yeleuwiiiii!
Too weak to handle you? which do you think are their weakness? how have you tried to make these weaknes to be strenthngs? At least you have realized they are weak so you are strong than them and i think you should use your strenth to it on them. have you ever planed to live single mother life? i think you meet men everywhere convice them that you are wife material. ask for future dada ohooo. but dont bother maisha ya ndoa si kila kitu nenda taratibuAm not pushing them away,it's just that they are too weak to handle me
ha ha ha ha english lazima unywe kilimanjaromiss chagga alinidanganyaga eti ukilewa kinashuka chenyewe tu, loooh nilijaribu nikaishia kutukana tu, sina hamu mie.
True that, lkn kama anajifanya kujitegemea zaidi atamscare away huyo aliyempata. Wanaume wameumbwa kuhitajiwa na wajisikie kweli wanahitajika
yani mimi mwanaume mwenye 20s swala la ndoa simshauri kabisa aisee ni tatizo kubwakyekuu hiki kigezo cha umri kilishaeksipaya. kuna vijana sijui niseme watoto wako early ana mid 20's lakini wanajua wanataka nini na hata ndoa wanafunga na 20's wenzao. halafu kuna vijeba vya kiume viko 40's na wengine 50's huko bado vinaruka ruka havitaki kutulia chini. viko vya kike pia mid 30's na kuendelea ukimuuliza habari ya ndoa anatoa macho tu hajui kama anaitka au haitaki. Haya mambo yanategemea mazingira na mapito ya mtu binafsi, ila siwashauri vijana kuingia kwenye mahusiano ya "enter at your own risk". yaani mnaanza tu safari halafu mnaambiana wee twende tukifika huko mbele tutajua tunaenda wapi! mkikutana na misukosuko mnaanza kutoleana mapovu...mbele hakuendeki, nyuma mbali.
ha ha ha ha english lazima unywe kilimanjaro