miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
kilimanjaro for english speakersOoooh kumbe hadi kilimanjaro!! Mie nilipiga savana bwana, ngoja nitajaribu tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kilimanjaro for english speakersOoooh kumbe hadi kilimanjaro!! Mie nilipiga savana bwana, ngoja nitajaribu tena.
mh! mi chichemi mengi chana. Hii formula haina formula. Watu wengi hujua thamani za wenzao wakishawapoteza. Huyu dada wala hana kasoro. Ni kwamba bado ana majeraha ya kuachwa/kuacha na hajui. Hao anaokutana nao na kuona hawafai ni kwa sababu anatapa tapa kwa hiyo anashika chochote kinachokuja halafu akitulia kidogo anagundua amechemka. Anahitaji muda zaidi wa kupona na kujipanga upya na kuanza maisha ya kujitegemea kihisia. Miaka chini ya miwili toka mahusiano ya mwisho na kuanzisha mahusiano mapya yenye maana ni michache hasa kwa mtu kama huyu anayeonekana alikaa kwenye uhusiano na mpenzi wake muda muda mrefu.
Mi namshauri akubali kuwa yeye na yule mwenzie wasingeweza kuwa na furaha endelevu, aache kuwaza kuyapa mapenzi nafasi kuuubwa kwenye maisha, aache kuwaza kuwa kachelewa, aache kuwaza kuzaa na mtalaka wake, afanye shughuli zingine kwa bidii maisha mengine yasije yakaporomoka. Akishapona hisia atapata mtu mwingine very naturally na kama ni kubadilika tabia flani atabadilika kulingana na tabia za huyo mwanaume husika. Hakuna "cardinal behaviour" za kuvutia na ku-keep mwenzi. Tabia hiyo hiyo inaweza kumvutia mmoja na kumkimbiza mwingine. Ni swala la compatibility zaidi. Mwanaume anaweza kukimbia na kusema "yule mwanamke ni mjuaji sana", na mwanaume mwingine akabaki akasema "huyu mwanamke ana akili sana". Sasa ukikutana na anayekuona mjuaji na ukataka kum-keep kwa kujifanya mjinga sijui mnyenyekevu ili abaki, well, ni swala la kuhesabu gharama. Mi naamini katika uhusiano wake uliovunjika amepata ya kujifunza kuhusu mahusiano, basi maisha yaendelee. Mambo ya kukata kata tamaa hayafai.
That is what I mean. In the typical Tanzanian household like the one I was raised in, a woman has no say. Yani baba akiongea, watoto na mama mnansikiliza na kumuitikia.
I CANNOT be in such a relationship. Kama huwezi kuniona kama mtu mzima nwenzako mwenye haki, uhuru na uwezo wa kufanya maamuzi hatuhutaji kuwa wote.
You are NOT above me in any way, shape or form. There are differences btn the sexes but they are not in any way measures of superiority or inferiority.
(DO NOT show such an attitude to a Tz man or you wont keep him. lol)
do u mean height above sea level??? or attitude??
Learn to expect less from love, but to enjoy the most from the least that love can offer. It worked for me.Good evening,
Am in my late 20s about completing my MMED. Ever since I got out of my first relationship with my first and d only man I have ever loved I have not been able to keep other men coming my way.
Am not really a bad person, am not even materialistic because even as an undergraduate I was working. No man I have ever dated that doesn t not wish to settle down with me but one thing will lead to another and there will be change in plan.
In fact am losing hope of ever getting married may be I should just get pregnant for my first love and be a single mother. Right now am single and I have been for more than a year. Please do u have any advice for me?
Thanks
EXCUSE ME YOU MINDLESS FOOL, THE ONLY STUPID ONE HERE IS YOU AND WHO EVER BROUGHT YOU UP.
Some people in the thread think OP has the "attitude" and almost everyone agrees that Tz men want submissive women HENCE she should change if she is to keep a Tz man.
If being submissive is "an insult" then you and I are apparently on the same team.
Hayo mambo ya classy umeyaongea wewe. people will be with whom they want and your opinion matters the LEAST.
My love life is non of your business and am not and will never be married to a Tz man. Deal with it.
Excuse me mama,do u even knw how much u have disrespected women whow are married to/dating Tanzanian men??
This kasumba of"tanzanian men type" ni ushamba wenu tu do u think wazungu they do not fu.cking care about altitudes??
The ego u have is the very same problem she has
U think u r too classy for tanzanian men but the funny thing is "sitashangaa ukiwa umeolewa with the same type,tanzanian man"
Wote walioolewa na wanaodate na watanzania ni Wajinga but U?too stupid kwakweli
It may b too late 2 add my piece of advice. 1st u shud understand 30 education & love r 2 dfrent things. Let ua love life be independent from ua work life. 2ndly, back home, in my tribe, there is this saying that goes 'ambaye hajatoka husema mama yake ndio mpishi hodari'. U kud b thnking 30 u cannot love another guy jst coz u avent allowed uaself 2 explore the love world. Never try 2 compare boyfriends coz each and every one has a unique aspect 30 distiguishes him from the other. After all, it is said 30, U'll av 2 kiss many frogs b4 U kiss Mr. Right. All the best
,hakuna mwanaume atakuoa wewe,wewe ndio huoleki na mwanaume awe wa kitanzania au wa kikenya. kama unadhani kuna mwanaume yoyote duniani anataka mwanamke asie submissive labda uwe umemuumba wewe. mwenyewe.
Wanawake baadhi wa jf wako desperate sana. Iko hivi, sio kwamba you wont be married to a tz man,hakuna mwanaume atakuoa wewe,wewe ndio huoleki na mwanaume awe wa kitanzania au wa kikenya. kama unadhani kuna mwanaume yoyote duniani anataka mwanamke asie submissive labda uwe umemuumba wewe. mwenyewe.
Baada ya kuona huoleki kwa tabia zako mbaya unakuja kujifariji hapa eti huwezi kuolewa na mwanaume w kitanzania,ni mwanaume gani anaweza kuoa mwanamke wa hovyo kama wewe. Hakuna mwanamke anaweza kuoa mwanamke mwenye mtazamo kama wako popite duniani maana angekuwepo ungekua ushampata.
Hutaki kuolewa na mwanaume wa kitanzania huku unashiriki mijadala ya mapenzi na wanaume wa kitanzania,sasa hapo unajifunza nini maana ndio hao huwataki kwa hyo hata mitazamo yao kwenye mapenzi haiwezi kuendana na wewe huku unajadiliana nao, hii hi ajabu,sungura sizitaki mbichi hizi.
kama unadhani kuna mwanaume yoyote duniani anataka mwanamke asie submissive labda uwe umemuumba wewe. mwenyewe. .
It may b too late 2 add my piece of advice. 1st u shud understand 30 education & love r 2 dfrent things. Let ua love life be independent from ua work life. 2ndly, back home, in my tribe, there is this saying that goes 'ambaye hajatoka husema mama yake ndio mpishi hodari'. U kud b thnking 30 u cannot love another guy jst coz u avent allowed uaself 2 explore the love world. Never try 2 compare boyfriends coz each and every one has a unique aspect 30 distiguishes him from the other. After all, it is said 30, U'll av 2 kiss many frogs b4 U kiss Mr. Right. All the best
You can interpret my writing however you can. Frustrated. Desperate.
You can also interpret my being unmarried however you please. It doesn't change the truth.
Tadadhali Acha kuongelea wanaume wengine. This is a forum for everyone. It's a sea of ideas and knowledge.Kama unataka kuongea n'a watu wenye mawazo kama yako anzisha club yako.
Na ukweli unataka pale pale. I will marry whom I want when I want.