Am not materialistic but I still can't keep a man


Umeongea vizuri sana, honestly nilikuwa nawaza pia hiyo ya kumpoteza mpenzi wake wa mwanzo na kushindwa kudumu na waliomfuatia. Niliitafakari kiimani, nikaona nisiwaboe watu na imani yangu. Lkn kile ulichokiona wewe na kukitafsri kisaikolojia mimi nakitafsiri kiimani na ninaweza mpa solution ya kiimani pia.

Walipendana sana na mpenzi wake wa kwanza, waliAHIDIANA mengi wakatengeneza bond au soul ties ambayo wamekuja kuvunja. Sasa hawezi settle na mwingine because of the bondage na mpenzi wake wa kwanza, so bila kujali ana attitude problem or not kiimani anahitaji kuwa huru kutoka kwenye uhusiano wa kwanza ndio ataweza settle. So BRENDA 18 if this makes sense and you are interested to free yourself from your former love ili umove on PM me for guidance
 
Last edited by a moderator:

Ila kwa misimamo hiyo utangoja sanaaaa, japo umeongea kweli tupu.
 
Learn to expect less from love, but to enjoy the most from the least that love can offer. It worked for me.
 
U think ua still young enough to be attracted with anyone!!! Forgetting that ua aging every single day!
 
It may b too late 2 add my piece of advice. 1st u shud understand 30 education & love r 2 dfrent things. Let ua love life be independent from ua work life. 2ndly, back home, in my tribe, there is this saying that goes 'ambaye hajatoka husema mama yake ndio mpishi hodari'. U kud b thnking 30 u cannot love another guy jst coz u avent allowed uaself 2 explore the love world. Never try 2 compare boyfriends coz each and every one has a unique aspect 30 distiguishes him from the other. After all, it is said 30, U'll av 2 kiss many frogs b4 U kiss Mr. Right. All the best
 

Wanawake baadhi wa jf wako desperate sana. Iko hivi, sio kwamba you wont be married to a tz man,hakuna mwanaume atakuoa wewe,wewe ndio huoleki na mwanaume awe wa kitanzania au wa kikenya. kama unadhani kuna mwanaume yoyote duniani anataka mwanamke asie submissive labda uwe umemuumba wewe. mwenyewe.

Baada ya kuona huoleki kwa tabia zako mbaya unakuja kujifariji hapa eti huwezi kuolewa na mwanaume w kitanzania,ni mwanaume gani anaweza kuoa mwanamke wa hovyo kama wewe. Hakuna mwanamke anaweza kuoa mwanamke mwenye mtazamo kama wako popite duniani maana angekuwepo ungekua ushampata.

Hutaki kuolewa na mwanaume wa kitanzania huku unashiriki mijadala ya mapenzi na wanaume wa kitanzania,sasa hapo unajifunza nini maana ndio hao huwataki kwa hyo hata mitazamo yao kwenye mapenzi haiwezi kuendana na wewe huku unajadiliana nao, hii hi ajabu,sungura sizitaki mbichi hizi.
 

Achana na wanawake wengine humu wana frastration za maisha na mapenzi baada ya kuona hawewezi kuoleka sasa wanajifariji kwamba hawawataki wanaume wa kitanzania. Yeye nani anamtaka.
 

Umenikosha mkuu
 
,hakuna mwanaume atakuoa wewe,wewe ndio huoleki na mwanaume awe wa kitanzania au wa kikenya. kama unadhani kuna mwanaume yoyote duniani anataka mwanamke asie submissive labda uwe umemuumba wewe. mwenyewe.

Hahaha thanks for the morning laugh. Eti Mkenya. Nimegundua si kosa lako. Ni kwasababu ya CCM. Hahaha. Dunia yako imeishia Kenya.

Anyways I also find you unintelligent. Uneducated. Unexposed. Immature. Boring. You speaking for the entire world's male population is an insult to real men out there.
 

You can interpret my writing however you can. Frustrated. Desperate.
You can also interpret my being unmarried however you please. It doesn't change the truth.

Tadadhali Acha kuongelea wanaume wengine. This is a forum for everyone. It's a sea of ideas and knowledge.Kama unataka kuongea n'a watu wenye mawazo kama yako anzisha club yako.

Na ukweli unataka pale pale. I will marry whom I want when I want.
 
kama unadhani kuna mwanaume yoyote duniani anataka mwanamke asie submissive labda uwe umemuumba wewe. mwenyewe. .

I forgot to mention una inferiority complex in disguise. Huwezi kupanda kwa kumshusha mwenzako. We ni wa kudharaulika. We fanya ya maana utaheshimiwa. Whether you're a man or woman. Rich or poor.

Me mwenyewe siwezi kukuoa wewe. Kazi ya kupump ego za mtu siwezi. There's a desperate woman out there who will want you.
 
Mimi nina swali moja tu kwa ma single mama kwa kupanga na kukusudia. Hivi mnapoamua hivyo huwa mnawafikiria hao watoto mtakaowazaa?! Kwa upande wangu naona ni ubinafsi wa hali ya juu. Naweza kuelewa kama baba kafariki au kakataa mtoto au hata kama imetokea mmeachana kwa sababu mbalimbali lakini mtu anakaa chini anaamua tu kuwa azae alee single??!! Kama vipi muigeni Condoleezza Rice.
 
Hi Brenda18, It is rather sad to read your message and some of the relies. A beautiful lady about to complete MMED? You should not worry about meeting and keeping a man. Trust me, the right man will come at the right time. It is a pity that our culture indoctrinates us that we should have met someone by our early twenties. I too am a beautiful lady (or rather was!), very confident lady (and always has been), and I love life. I have done studies similar to yours. Years ago, I went through similar struggles. As a result I married, had children and ploughed through my PhD and other further studies with a couple of children in tow. While I love my family, it was not easy. While living abroad I saw many ladies from other cultures who had waited and studied while enjoying their lives. So don't worry, it will all be all right, just be yourself. Don't be swayed by many people who will tell you "men don't like this" or "men like this", for some of them it is their own insecurities. People have very different experiences, and we can not simply generalize. A good man who knows your worth will fight to keep you, as long as both of you have genuine love. Good luck, and have a good day 🙂
 

huu ni uandishi wa kipumbavu na kilofa sana!
 

jolyta = housegirl
cc: Invisible
TUMECHOKA!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…