Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Ushalogwa. Mshana kafanya kazi kubwa sana ee?Alafu we nakushobokea kila siku nashangaa hutangazi ndoa si bora niende kwa mr loner
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushalogwa. Mshana kafanya kazi kubwa sana ee?Alafu we nakushobokea kila siku nashangaa hutangazi ndoa si bora niende kwa mr loner
Haha nini sasa ww...ukiambiwa ukweli nmelogwa khaaaUshalogwa. Mshana kafanya kazi kubwa sana ee?
Me sijaviona embu niletee huo uzi apa niuone kama nafaaSiku ile aliyetoa vigezo mkadai aumbe wa kwake tu maana ni vigezo rukuki! Leo mnapewa nafasi ya bure mnajishebedua kuuliza vigezo! Wanawake mtamaliza makanisa kuombewa lakini gonjwa liko pale pale!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahaaaaaa uwiii embu tuondoke zetu siye.
Ila tumuombee mkuu apate wa kumfaa
Sasa ni kweli kuwa unaniashobokea?Haha nini sasa ww...ukiambiwa ukweli nmelogwa khaaa
Unatafuta mume kumbe?Me sijaviona embu niletee huo uzi apa niuone kama nafaa
Haha huvioni? Ngoja nikuoneshe!Huna vigezo?
Huna vigezo?
Hahaha aiseeSiku ile aliyetoa vigezo mkadai aumbe wa kwake tu maana ni vigezo rukuki! Leo mnapewa nafasi ya bure mnajishebedua kuuliza vigezo! Wanawake mtamaliza makanisa kuombewa lakini gonjwa liko pale pale!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe changamka kwa huyu asiye na vigezo hata bila sendoff wewe ibuka tu mengine mbele ya safari! AaarrrghaaMe sijaviona embu niletee huo uzi apa niuone kama nafaa
Mkuu ukipata wa ziada nipatie mmoja nimechoka huu upweke huu wiki ya pili hii napoteza mdaa kwenye Uzi wa likes tuu.Iam Tanzaniam male with 30 years, am here looking for a soul mate, a girl with matured age na anayejua what is life, ata hasipokuwa na kazi ili mradi awe serious naimani tukiwa wawili maisha yataenda. Mie ni mrefu maji ya kunde, tafadhali sipo kwa ajili ya kutafuta msichana anayejiuza bali wa kuishi nae kama ikimpendeza Mungu, kama unakuja kwa nia tofauti naomba usisumbue muda wako
Hahaha we shilawadu upo?Haha huvioni? Ngoja nikuoneshe!
1.matured age
2.hata asipokuwa na kazi
3.awe tayari kuwa mke.
Me naandaa mchango wa harusi tafadhari usituangushe hehehe!
brain is the beautiful part of the body.
Huyo kiazi wa wapi?Hahaha we shilawadu upo?
hataki mbilikimo.Haha nini sasa ww...ukiambiwa ukweli nmelogwa khaaa
Hahaha me naanda zawadi ya bi harusi! Si umeshaenda PM yake ee?Hahaha we shilawadu upo?
Seen!Huyo kiazi wa wapi?