kwanza pole sn najua unachopitia mana na mm nilipita huko, kwanza jipende mana huwezi kupendwa kabla hujajipenda, usijizile, keep urself busy na vitu unavyojipenda, go out with friends have fun, na jaribu kupata marafiki wapya, socialize more, then tambua kwamba wewe ni wa thamani na Mungu alikuleta dunia kwa makusudi si kwa bahati mbaya hivyo basi mpango wake kwako utatimia wakati wake ukifika, usikubali kuwa desperate utafanya maamuzi yasiyo sahihi mana akitokea mmoja na ambaye si sahihi utamkubali just b'se u r desperate, jiamini na muombe Mungu atakupa ur heart desire, there is someone for everyone