Ama kwa hakika maisha hayana maana kabisa

Don't be afraid of death since you can't Either stop it or Return the dead ...!!

Make a move, Washa bajaji, pikipiki, Gari, semi n.k ingia road, kifo ni kifo tu na huwezi kukichukulia hatua yeyote ...!!

Japo inaumiza ndugu zetu wakipotea ghafla ila hakuna namna tunaweza fanya 🤔
 
Seriously? Hii ni severe depression, pessimism disorder au nihilism? Ni kivipi hii scenario moja iwe universal reason ya watu ku-execute huo ushauri wako?
 
That's the point of living. Fanya kila unachokiweza leo sababu unaweza zima kesho.
 
Tunaishi tukijua tutakufa, tunakufa tukijua bado tunaendelea kuishi.
 
Huko wanakolipwa hela ya kunywa usiku mmoja kwa kivuli Cha private boss ?
Njoo mtaani ukione kizazi Cha wasomi kinavyoteseka ,amka ndotoni uione dunia mpya ya jasho na pesa .
Hakuna,
Nipo kwenye hio sekta, kazi za 700+ kwa md ni nyingi hapo hujaweka MVA, nights na extra, Bima na hivyo vitu, then unasema mtu mwenye MD awe dereva bajaji, ? Labda CO ila sio MD aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…