Ama kwa hakika maisha hayana maana kabisa

Ama kwa hakika maisha hayana maana kabisa

Kifo ni ukweli /ukweli ambao haupingwi Wala kubishiwa/ kifo ni wajibu kikikuita HAUKATAI.

Naogopa Sanaa siku izi tangia nimepata ajari/ Maumivu na psychology hubadilika kabisa ni ngumu kwa mwingine kuliona hili

All in all,
Mungu ni mwema WAKATI wote..WAKATI wote Mungu ni mwema.
Kubali na kutambua kuwa maumivu, mateso na kifo ni marafiki wa kweli. Yakitokea maumivu na mateso yakumbatie. Kuwa tayari kufa wakati wowote na ufurahie maisha.
 
Today tukiwa tuna enda mishe mishe asbh Kuna jamaa tulimpakia mtu MZIMA.
Alikua mkimya Sana gafla Kuna bodaboda alifanya faulo..

Jamaa akaanza kuzungumza akasema NIMEWAI KUUA MTU KWENYE AJARI YA BARABARANI..

ILIKUA ANATOKA DAR WANAENDA BUKOBA NA PRIVATE CAR YEYE AKIWA DEREVA WALIPO FIKA KAHAMA NTATOLEA MFANO WA ENEO WALIPO PATIA AJAR NI KAMA HAPO MAENEO YA JITEGEMEE JKT..

yeye alikua highway speed bodaboda akiwa amebeba mishikaki akakatiza gafla ku cross barabara... Tena bodaboda ilikua imetoka kuchukua drip za uchungu kuwaisha ili mama akajifungue walipo fikishwa kituo Cha afya wakaambiwa Hawa si wametoka hapa muda si mrefu mmoja karudishwa akiwa MAITI.

Mzee yaan miundombinu yetu Bado sio rafiki pia na madereva baadhi hawazingatii Sheria za barabarani
Sio baadhi ya madereva tu, Watanzania wote kwa ujumla hawazingatii sheria za barabarani.

Mfano mdogo ni kwenye zebra crossing tu, Usiku ndio kwanza wala hawajali kama kuna zebra magari yanapita hapo speed kali.

Bodaboda wao ndio kama zebra crossing haiwahusu kabisa, Yani iwe mchana au usiku, Hata wakikuta imewaka taa nyekundu wao wanavuta mafuta tu speed ..

Ila kwa wenzetu hata usiku wa manane umefika zebra crossing na hamna hata mtu mmoja anaye vuka, Lazima usimame.
 
na pia akasema ' when sorrow comes, not a single spy ,but in batallions'. Ndio maisha yalivyo. Matatizo yakija kwenye maisha yako, huwa yanafuatana.
Mkuu na wewe ni mpenzi wa plays za huyu jamaa
 
Tumemaliza ibada ya kumuaga rafiki yangu kipenzi, jamaa kamaliza MD moja ya chuo kikuu hapa jijini, kaja mtaani wakati anasubiria ajira, akaamua ajishikize kwenye Bajaj, Jana saa moja usiku kwa bahati mbaya akapata ajali baada ya bajaj yake kugongana na coaster.

Mwamba akalala mazima. Ooh maisha nini ni sasa? Harakati zote na ndoto zote zimekwisha. Its too sad indeed.
Kwa kua kuna maisha ng'ambo ya bahari,ni walalao katika bwana,siku moja tutakutana nao!
 
My Last_Big Sean lyrics.

Hands up in the air
I just want the, I just want the baddest b-h in the world
Right here on my lap
And I'ma hit this drink up like it's my last
I'ma hit this night up like it's my last
I'ma I'ma, hmm, hmm, like it's my last
(Boi)
Swear I'ma, swear I'ma do it like
Like I never had it at
All, all, all, all, all, all, all, all
Like I, like I, like I never had it at
All, all, all, all, all, all, all, all
(Boi)
Like I, like I, like I never had it at
Boi, boi, hey, okay
Okay, now where that alcohol? You ain't even got to ask
'Cause I'ma drink it all like, like it's my last
She a 7 in the face but a 10 in the ass
She even look better by the end of my glass
See I just walked in fresher than the shirts off in this muthfucka
I'ma need the baddest broad to twirk off in this muthafucka
I'ma go hard until it hurts off in this muthafucka
I'ma boss, so you gotta work off in this muthafucka
And I can get you anything you want
I could, I could, I could put you on
See you look like Beyoncé so do it like beyond
Do it like Beyoncé and put it on Sean
Grind hard but a got a lot to show for it
Always had drive like I had to chauffeur it
My team's so true we should get a camera crew
To follow us around and make a show for us
And I'ma hit this drink up like it's my last
I'ma, I'ma hit this night up like it's my last
I'ma I'ma, hmm, hmm, like it's my last
Swear I'ma, swear I'ma do it like
Like I never had it at all, all, all, all, all, all, all, all
Like I, like I, like I never had it at all, all, all, all, all, all, all (Hey)
All, all, all, all, all, all, all
Like I, like I, like I never had it at all, all, all, all, all, all, all
Now I'ma fill this glass up like it's my last
I'ma, I'ma blow this bag up like it's my last
I'ma, I'ma spend this cash up like it's my last
And I'ma make it last, like it's my last
And I'm gone, can't remember where I am
But she forget about her man when they tell her who I am
And they introduce my fan, now she all up in space
All, all up in my face like, "You remember who I am?"
Since I signed to Kan', I'm Louis Vuitton shine
Up in Benny Han Han eating all the wonton
Rose rose over a little Chandon
Put her hands down my pants, now she rocking Sean John
Man, I just ended up on everybody guest list
I'm just doing better than what everyone projected
Knew that I'd be here so if you asked me how I feel
I'ma just tell you, it's everything that I expected, bitch
Hands up in the air
(One time for the West Side, West Side let me see them hands)
Hands up in the air
(Two times if you love G.O.O.D Music)
Hands up in the air
(And three times for the baddest chick in the world)
(Who got her hands up in the air)
Hands up in the air
Now I'ma hit this drink up like it's my last
I'ma, I'ma hit this night up like it's my last
I'ma I'ma, hmm, hmm, like it's my last
Swear I'ma, swear I'ma do it like
Like I never had it at
All, all, all, all, all, all, all
Like I, like I, like I never had it at
All, all, all, all, all, all, all
Like I never had it at all
Big ass bottles, big ice buckets
I work too hard to be balling on a budget
Me and my people do it big out in public
'Cause if you don't do it big bitch you ain't doing nothing
And I'ma hit this drink up like it's my last
I'ma, I'ma hit this night up like it's my last
I'ma I'ma, hmm, hmm, like it's my last
(Boi)
Swear I'ma, swear I'ma do it like
Like I never had it at (D town)
All, all, all, all, all, all, all
Like I, like I, like I never had it at
All, all, all, all, all, all, all
All, all, all, all, all, all, all, all
Like I, like I, like I never had it at
All, all, all, all, all, all, all
Like I never had it at all
 
Sio baadhi ya madereva tu, Watanzania wote kwa ujumla hawazingatii sheria za barabarani.

Mfano mdogo ni kwenye zebra crossing tu, Usiku ndio kwanza wala hawajali kama kuna zebra magari yanapita hapo speed kali.

Bodaboda wao ndio kama zebra crossing haiwahusu kabisa, Yani iwe mchana au usiku, Hata wakikuta imewaka taa nyekundu wao wanavuta mafuta tu speed ..

Ila kwa wenzetu hata usiku wa manane umefika zebra crossing na hamna hata mtu mmoja anaye vuka, Lazima usimame.
Ni ukweli mtupu huku kwetu kutoka asbh na kurudi salama ni Kama muujiza tu.
 
Poleni sana wafiwa. Ndio maana kila siku nawakumbusha acheni kujistress kulipa mamilioni kwenye shule za ENGLISH MEDIUM maisha yenyewe ndio hayo hayo. Haya sasa twende kazi, haraka sana kimbia watoe watoto wako shule za English Mediums warudishe Kayumba. Utakuja kunishukuru
Acha mawazo ya kimasikini
 
Waafrika hasa watanzania wana kufa sana kutokana na ujinga, uzembe na upumbavu.

Kusafiri katika barabara za Tanzania ni HATARI ya kuweza kupoteza uhai wako muda wowote.

Mijitu inaendesha vyombo vya usafiri kama mapanya🐀 yanayo kimbizana darini.

Mijitu inajazwa kwenye public buses: daladala, Hiace, Noah, mwendokasi n.k kama magunia ya viazi 🥔 .

Mibodaboda barabarani kama misafara ya Siafu 🐜

Kuishi Africa tu, Ni hatari kwa uhai wako na Life expectancy yako kwa ujumla.
Aisee
 
Inasikitisha sana, taifa linatumia gharama kubwa sana kusaidia watu wake waende shule, mwisho wake hizo ajira hakuna. MD kiuhalisia kabisa hawezi kujiajiri, ni ngumu sana coz mtaji wake sio mchezo. Sijui tunaenda wapi aisee.

Na hapo unakuta ni Bajaji ya watu wanne ila wanapakia hadi watu sita.
 
Inasikitisha sana, taifa linatumia gharama kubwa sana kusaidia watu wake waende shule, mwisho wake hizo ajira hakuna. MD kiuhalisia kabisa hawezi kujiajiri, ni ngumu sana coz mtaji wake sio mchezo. Sijui tunaenda wapi aisee.
ndo maisha yalivo mkuu
 
Back
Top Bottom